Namna Ya Kuslay Minyoosho Hair Style
kunazile siku ambazo tunaona tunahitaji kupumzisha kichwa na ma-wig na weaving’s na kuamua kusuka tu simple hair style, kwasasa wengi wetu huwa tunachagua hii minyoosho hair style yenye rasta, ni simple na elegant unaweza kuvalia chochote iwe suit, casual etc. Lakini haimaanishi basi ukisuka nywele…
Style Ya Rasta Inayo Trend Kwasasa
Kama kuna urembo ambao hauchoshi na kilakukicha wasusi wanabuni styles mpya basi ni rasta, kila mara tumekuwa tukiona zinakuja styles mbalimbali ambazo ni nzuri hasa na za kupendeza. Kwa sasa style ambayo inatrend ni curly loc braids. Tumewaona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamesukia mtindo huu…
Blonde Hair Style Inspiration From Tanasha Donna
Mwanamuziki Tanasha Donna kutoka Kenya amekuwa akitu-serve blonde hair styles back to back. Tanasha ali-debut blonde look yake ya kwanza April mwaka huu & she never went back, seems like what they say about blonde having more fun is true because she been having fun…
Misuko Ya Rasta Kutoka kwa Vanessa Padi
Kusuka rasta huwa kunatu-save sana wadada, ukisukwa rasta vizuri unaweza kukaanazo muda mrefu unachotakiwa kufanya ni kuzijali, kuziweka ziwesafi na kubadilisha style mara kwa mara. Lakini kuna struggle ambayo wengi tunapitia nayo ni kujua mtindo/msuko gani wa rasta usuke. Leo tunakuletea mitindo michache tuliyoiona kwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…