Namna Ya Kuonekana Stylish Ukiwa Umevalia Suit
Suit ni moja ya vazi ambalo lima heshimika sana,na mara nyingi huwa lina kuwa styled simple maana tayari lenyewe linaongea. Lakini sometimes kuwa simple sana kunaweza kufanya muonekano wako uonekane basic, kama wewe ni moja kati ya wale ambao wanavaa suit kazini au kwenye mikutano…
Viatu Vifupi Classy Vya Kuvaa Ofisini Ukiachana Na Mosimo
Japo wengi wetu tunavutiwa zaidi na mosimo kutokana na urahisi wake kwenye bei na ambavyo vipo comfortable lakini viatu hivi havifai kuvaliwa ofisini, hivi viatu haviupi muonekano wako wa kazini classy look badala yake vinadidimiza vazi lako. Tumekuwekea ni viatu vipi vifupi unavyoweza kuvaa na…
Namna Ya Kustyle Jeans Ofisini
Jeans ni vazi ambalo linaaminika kuwa ni vazi la casual, lakini unaweza kulivaa sehemu yoyote endapo tu utali-style kwa namna sahihi kutokana na eneo unalokwenda. Vazi hili ni vazi zuri kutokana na kwamba lipo comfortable lakini pia kama utavaa vyema kazini linaweza kukufanya u-stand out,…
Nguvu Ya Rangi Na Athari Zake Katika Kazi
Ukweli kuhusu kazi ni kwamba inachukua sehemu kubwa ya maisha yetu, Muda unaotumika kazini mwetu, iwe ofisini, kwenye duka, au mahali popote pa kazi,Kwa hiyo, ni muhimu kufikiria jinsi tunavyoweza kutumia muda huu vyema, ikiwepo kutafuta furaha katika kazi yetu na katika daily routine zetu….
Namna Ya Kutayarisha Stylish Outfit Za Week Nzima
Kama wewe ni mmoja kati ya wale ambao tunaamka asubuhi na kuanza kufikiria tuvae nini, mwishoe tunaishia kuvaa chochote ili mradi tumevaa au kuishia kuchelewa tuendapo kwa sababu tu hatukuwa tumejitayarisha mapema. Asikudanganye mtu a good & stylish outfit takes time to create, ni wachache…
Namna 5 Za Kuonekana Stylish Kazini
Moja kati ya vitu ambavyo wengi tunapitia ma-ofisini ni kuwa confused kati ya kuwa over dress na ku-low dress ofisini na chaguo kubwa huwa kuwa katikati yaani usiwe low wala over dressed na hapa ndipo tunapokutana wengi unakuwa na ma shirt yako ya rangi moja…
Namna Ya Kuonekana Classy & Elegant Ofisini
Ladies wewe ni mmoja kati ya wale ambao unajitahidi sana kazini uonekane elegant na classy lakini unaona bado haujafanikiwa? Inawezekana kuna vitu vidogo vidogo una miss katika mionekano yako.Leo tunakuletea tips zinazoweza kukusaidia uonekane classy na elegant Fitted outfits / Right Materials Hakikisha nguo zako…
How To Dress Powerfully
Umesha wahi kukutana na kijana ambae anafanya kazi ya kawaida lakini unaweza kudhani yeye ndio CEO wa kampuni hio? Yes inawezekana na wewe kufanya hivyo, wengi wetu tunatumia excuse ya kwa kazi gani? au mimi siwezi ku-dress vile kuna wenyewe, futa hizo fikra unaweza kwa…
How Fashionista Azure Kange Styled Pleated Skirt’s
Moja ya timeless pieces ni pleated skirts, hizi huvaliwa msimu mbalimbali na pia zinaweza kuwa styled kwa namna nyingi, iwe kazini, mitoko au hata casual looks. Graphic Pleated Skirts Are Trending Right Now Leo tunakuletea fashionista kutoka hapahapa Tanzania, mwanadada Azure Kange yeye ameonekana kuzipenda…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…