Kwanini Tunasikia International Models Wale Wale Kila Mwaka?
Tunadhani since tumeanza blog na wale tulio wakuta kuna models wachache sana ambao wanasikika au wanaandikwa International hawa ni wale ambao waliwahi kuwa Ma Miss eidha miss Tanzania au Miss Universe, kuna watu kama Hapiness Magesse, Tausi Likokola, Miriam Odemba na Herieth Paul hawa wote…
How To Photograph A Model Like A Professional
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nam laoreet, nunc et accumsan cursus, neque eros sodales lectus, in fermentum libero dui eu lacus. Nam lobortis facilisis sapien non aliquet. Aenean ligula urna, vehicula placerat sodales vel, tempor et orci. Donec molestie metus a sagittis…
Grey Fashion Trends You Din’t Know That Existed
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nam laoreet, nunc et accumsan cursus, neque eros sodales lectus, in fermentum libero dui eu lacus. Nam lobortis facilisis sapien non aliquet. Aenean ligula urna, vehicula placerat sodales vel, tempor et orci. Donec molestie metus a sagittis…
Yaliyojiri katika usiku wa Style & Fashion
Usiku wa Style & Fashion ndio tuliokuwa tunausubiri hasa kujua kina nani watapanda kwenye majukwaa ya Sanaa Fashion 2016. Hatimaye jana tukapata kufahamu kitendawili hiki kilicho kosa majibu kwa kitambo kidogo. Ilikuwa jana pale Atriums Hotel ambapo tulipata kushuhudia warembo na mahandsome kwenye ubora wao…
Lesson 1: Basics Of Photography With Natural Lighting
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nam laoreet, nunc et accumsan cursus, neque eros sodales lectus, in fermentum libero dui eu lacus. Nam lobortis facilisis sapien non aliquet. Aenean ligula urna, vehicula placerat sodales vel, tempor et orci. Donec molestie metus a sagittis…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…