How Muna Love’s Praising The Lord Through Fashion
Dini na mitindo ni vitu ambavyo vinaleta utata mkubwa, wengi wakiamini aina fulani ya mavazi hayatakiwi kuvaliwa ukiwa dini fulani na kama unajitangaza ni dini fulani basi unatakiwa kuwa namfa fulani, kila mmoja wetu ana believe yake lakini mwisho wa siku ni wewe na imani…
Reviewing Looks From Last Week
Imekuwa muda kidogo sinse tufanye review za looks za watu maarufu weekly na hii ni kutokana na kwamba mara nyingi looks zinakuwa so/so, kama haijajirudia basi ni za kawaida sana well this week imekuwa tofauti kidogo as kila tunapopita tumekutana na looks zinazovutia kwa namna…
Mishono Ya Vitenge Kutoka Kwa Fashionista Mbalimbali
Inawezekana una kitenge chako hujui ushone nini au una event inakuja na sare ni kitenge na bado hujajua mshono gani ushone, leo tunakuletea mishono mitatu mikali kutoka kwa Jojo Gray, Elizabeth Michael na Muna Love Muna aliserve akiwa amevalia hii mermaid dress kutoka kwa Allie…
Celebrities Beauty Looks We Spotted Last Week
As we kick into April tumeona watu maarufu mbalimbali wakiimaliza March wakiwa wamependeza na makeup zao, week iliyopita haikuwa week yenye events sana kwaio makeup ambazo tumeziona ni zile makeup casual zisizo na kelele nyingi, kikubwa tumeona watu maarufu wakiwa wamefanya photoshoot au wakiwa wanatangaza…
Beauty Looks From Last Week
Kama kuna kitu ambacho watu maarufu hutulia mkazo ni mionekano yao, as a star you need to bring your A game off & on the screen, ikiwa una watu wanaokufuatilia basi unahitajika kuonekana vizuri kuanzia mavazi mpaka makeup zako. Lakini si tu makeup bali pia…
Muna Love Birthday Photoshoot Outfit Review
Happy New Year kwenu cousin’s, Afromates na ndugu wasomaji (lol) imekuwa muda since tukutane hapa ni matumaini yetu mwaka huu tutakutana hapa mara nyingi zaidi anyways enough with maelezo turudi kwenye swala kuu ambalo ni reviewing Muna Love Birthday Photoshoot. Muda ni moja kati ya…
6 Makeup Looks From Last Week
Juma lililopita lilikuwa na mengi, sherehe, photoshoots, engagement etc. Na kama ilivokuwa kawaida kukiwa na matukio basi sisi huwa tunaangalia namna ambavyo watu maarufu wamehudhuria je mavazi yao yalikuwa on point? Je makeup na nywele zilitulia? Na tuna wrap up na kuwaletea hapa maoni yetu….
Pixie Cut Hair Style Is Having A Moment
Pixie cut hair style ni moja ya style ya nywele ambayo ni timeless na ni rahisi kui-maintain, style hii ya nywele inaweza kuwekwa na mwenye umri yoyote na ni moja ya style ambayo inakufanya u-standout. Well kwasasa hapa Nchini kwetu tumeona inaanza kushika trend ambapo…
Surgery Aliyofanya Muna Love
Mwaka jana Rose Alphonce au Muna Love alitangaza kufanya surgery 11, na mwaka huu alirudi aki-serve bowd kwenye mitandao ya kijamii. Kwa bahati mbaya kwenye surgery yake ilianza kumletea matatizo ambapo ilibidi arudi hospital kuangaliwa zaidi. Muna alitangaza kufanya surgery 11 ambapo ambazo alizisema na…
Muna Love Serving Looks After Surgery
Rose Alphonce a.k.a Muna love ni true definition ya new year new me ameingia mwaka mpya akiwa na new age na new body. Muna ambae miezi ya mwishoni ya mwaka 2021 alitangaza kuwa atafanya surgery 11 katika mwili wake, mpaka sasa tumejua surgery 3 tu…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…