Sehemu Za Kupuliza Unyunyu “perfume” Idumu Kwa Muda Mrefu
Iwe ni perfume ya bei ghali au ya bei rahisi kama unajipulizia tu bila kujua sehemu zinafaa kupuliza basi lazima ikifika muda fulani hunukii tena inabidi uende ukajipulizie tena. Lakini kumbe ukipuliza perfume yako kwenye baadhi ya sehemu basi itasaidia unukie kwa muda mrefu. Utajiuliza…
Aina Na Namna Ya Kuchagua Perfume Inayo Kufaa
Kuna maelfu ya perfume madukani, lakini sio perfume zote ni nzuri kwa kila mtu, kwa hiyo ni muhimu kuchagua perfume ambayo itamfaa mtumiaji ili kuepuka kujisikia Vibaya baada tu ya kununua. Perfume unapoinusa inagawanyika mara tatu, wenyewe wanaita NOTES, yani kile unachokisikia na ukali wake unavotofautiana….
Je Unatakiwa Ukae Umbali Gani Wakati Wa Kupaka / Kupulizia Perfume?
Kila mmoja wetu atakuwa anajua perfume ni nini na kazi yake, lakini pia wapi unatakiwa kupaka perfume hizi. Tulisha ongelea kuhusu perfume na wapi pa kuzipaka kama hujawahi kusoma na ungependa kusome click link hapo chini Dondoo Za Kufanya Unyunyu “perfume” Wako Udumu Kwa Muda…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…