Hatua 8 Za Kufanya Ngozi Yako Ionekane Kijana Daima
Kuwa na ngozi yenye muonekano mzuri ni jambo la kujivunia kwa watu wa rika zote hapa duniani. Watu huwa wanatumia kiasi fulani cha kipato chao kwa ajili ya kutunza wa ngozi zao. Hivyo ni vyema ukawa na ufahamu sahihi wa jinsi gani ya kutunza ngozi…
Facial Mask Ya Manjano, Asali, Ndimu Na Mtindi
Shekha Manjano ni mmiliki wa kampuni ya vipodozi vya manjano na juzi aliweka beauty tip ya namna ambavyo una weza kutumia manjano,mtindi,ndimu na asali kuondoa chunusi.. na hivi ndivyo alivyo andika katika kutoa somo hilo “Weekend yangu naimalizia kujipamper na homemade face mask. Kama unasaumbuliwa…
Je Unapaka Sunscreen Kabla Au Baada Ya Moisturizer?
Swala la kupaka sunscreen limekuwa swala kubwa sana kwasasa Nchini kwetu na hii inatokana na kwamba hiki ni kitu kipya kidogo kwetu. Wengi tunazo kwasasa na wafanyabiashara wa urembo wengi wamekuwa wakiziongelea na kuziuza. Tulishatoa tips mbalimbali kuhusu umuhimu wa kupaka sunscreen Umuhimu Wa Kupaka…
Je Unatakiwa Kupaka Kipodozi Katika Ngozi Nyevu Au Kavu?
Umesahawahi kujiuliza unatakiwa kupaka kipodozi chako ngozi ikiwa imekakuka au ikiwa na majimaji (nyevu)?, wengi wetu tukishamaliza kuoga au kunawa tunajifuta maji tukauke ndio tupake vidopozi, well leo tupo hapa kukupa taarifa kwamba you are doing it wrong sis/bro. Kutokana na tafiti zinaonyesha kupaka kipodozi…
Namna Ya Kupata Ngozi Ng’avu Kiasili
Sote tunapenda ngozi ng’avu, lakini hatujui nini cha kutumia tuwe tu wang’avu bila ya kuchubua ngozi zetu, kama ukienda kwenye maduka yavipodozi utasikia wadada wengi wana taka kipodozi cha kuwang’aza lakini kwa bahati mbaya wengi wetu tunakosea hili neno kwa kuwa mweupe, mtu anapo sema…
Faida Za Tende Na Maziwa Katika Mwili Na Urembo
Umesha wahi kusikia au kuambiwa unywe tende na maziwa katika mwezi huu mtukufu? wengine huwa wanashauri unywe kama una fanya mazoezi, wengine ushauri kama wewe si mpenzi wa kula daku basi aumke unywe tende na maziwa vina aminika kwa kuwa na uwezo wa ku-boost energy…
Mwanaume Fuatisha Haya Kupata Muonekano Mzuri
Kama una dhani muonekano mzuri ni kwa wanawake tu basi unakosea sana, wanaume wana ngozi ngumu za sura kwa sababu ya kunyoa ndevu na kutembea juani, pia hupata chunusi na madoa meusi wakinyoa ndevu lakini hizi ni step nne rahisi za kufuata kuondokana na matatizo…
Sishkikii Na Safari Yake Katika Skin Lightening
Fashionista Sishkikii ame-reveal kuwa anaanza safari ya kung’aza ( lightening) ngozi yake, well tulishawahi kuongelea kuhusu utofauti kati ya skin lightening na skin brightening. Ila kwa kifupi tu Tunapoongelea Lightening ( Kung’aza) Tunaongelea kung’aza ngozi kuwa katika hali ya kawaida, hii ni kama pale unapopata…
Njia Rahisi za Kutunza Ngozi Yako Ya Uso Katika Weekend
The weekend has landed, weekend huwa tunatumia muda mwingi kuhakikisha mambo yanaenda sawa katika miili yetu na hata majumbani, ni muda wa mapumziko ambao tunatumia kusafisha nyumba, mavazi, na hata kufanya usafi wa mwili oh yes weekdays unakuwa na haraka na huna muda wa kutosha…
Huwezi Kupata Ngozi Nzuri Kwakuwa Na Skincare Routine Tu
Watu wengi wamekuwa wakipotea hapa, tunakesha kuuliza kuhusu skin care routine za wengine, tunakesha kutafuta vipodozi vizuri vya bei ghali, inawezekana tukapata hivyo vipodozi lakini bado ngozi zetu zikaendelea kuwa na hali mbaya, kwakuwa tunasahau kwamba skincare routine ni moja ya sehemu 3 za kupata…
HOT TOPICS
Ya’ll Can Talk About That Wardrobe Malfunction, But What I Want To Know Ni Kwanini Kapaka Mafuta Nusu Mguu Au Ni Ki… https://t.co/CV99NEPX6Y
FollowThis Is How It Looks Like Brand Ambassadors Waki Advertise Skin Care Na Filter Au Makeup Usoni https://t.co/yvzmN1zL7w
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…