Tips On How To Stay Healthy & Youthful According To Jacqueline Ntuyabaliwe
Jacqueline ni moja kati ya wakwonge katika mitindo ambao bado wanaonekana vyema yaani kuonekana wadogo kuliko umri wao, wengi wetu huwa tunajiuliza anafanya nini? Mbona ngozi yake bado ipo vizuri? Kupitia Account zake katika mitandao ya kijamii Jacqueline ame-share tips chache za namna ambavyo unaweza…
Namna Ya Kutunza Ngozi Yako Ya Uso Katika Weekend
Inawezekana kutokana na hekaheka za week nzima ulikosa nafasi ya kufanya skincare yako vyema, uli skip moja au mbili, inawezekana week ilikuwa ngumu pia ukapata stress, umetembea juani na ngozi imechoka. Weekend ni muda mzuri wa kurudisha hali ya ngozi yako, ikiwa una muda wa…
You Don’t Need A 7/10 Step Skincare Routine To Have A Heathy Skin
We don’t know who needs to hear this but there you have it,huitaji kuwa na 7 to 10 skin care routine kuwa na ngozi nzuri na yenye afya. Ikiwa kwasasa skincare routine ndio zipo kwenye trend kuna baadhi ya vitu vinaibuka na kusababisha wengi wetu…
Faida Za Ku Dry Brush Ngozi Yako
Katika pitapita zetu tulikutana na post ya super model Flaviana Matata ambapo alipost video ya selfcare akaweka na caption isemayo “It is that time of the month and no matter how I feel , I still take care of myself; Lit my Lavy Candle, Dry…
Je Korean Skincare Zinaweza Kusababisha Uharibifu Wa Ngozi (Breakout)
Kwasasa skincare products ambazo zinasifika kwa uwezo wake wa kufanya ngozi kuwa nzuri na kuondoa breakout ni vipodozi vya kikorea, ambavyo inasemekana vipodozi hivi hutengenezwa asilimia kubwa na vitu vya asili na vitu ambavyo havina madhara lakini pia vinasifika kwa kuleta unywevu katika ngozi. Japo…
Namna Ya Kutambulisha Kipodozi Kipya Cha Ngozi Katika Ngozi Yako
Inawezekana una skincare routine lakini unataka kuongezea kipodozi kingine au pia inawezekana ni mara ya kwanza kuwa na skincare routine je unaanzaje kutambulisha kipodozi hiko kipya katika ngozi yako? Katika kila kipodozi kuna ingredients ambazo zinaweza ku-react vyema au vibaya katika ngozi yako inabidi uwe…
Vitu Unavyoweza Kufanya Weekend Vikasababisha Skin Breakout
Umeshawahi kuwa na ngozi nzuri week nzima kisha unaanza jumatatu yako na ngozi ambayo huelewi? unaanza kujiuliza hizi rashes nimetoa wapi au mbona ngozi yangu imeharibika ghafla? Hii hutokana na mambo kadhaa ambayo tunayafanya weekend na yanaweza kuwa chanzo cha skin breakout Tunajua kutokupata usingizi…
Does Your Skin Break Out Before It Clears Up?
Umeshawahi kuanza kupaka kipodozi kisha ngozi yako ikaharibika zaidi ya ilivyokuwa mwanzo? Yes hii huwa inatokea na mara nyingi wengi wetu huwa tunachukulia hii kama dalili ya kipodozi kutokutupenda au ku-fail. Leo tunakuletea au kukufahamisha juu ya Skin Purging, Skin Purging hii ni pale unapoanza…
Mwanamuziki Halsey Anatumia Maziwa Ya Kunyonyesha Kama Skin Care
Mwanamuziki kutoka America, Halsey amefanya mahojiano na gazeti la Nylon magazine na katika mahojiano yao hayo, Halsey amesema amegundua kwamba maziwa ya mama (ya kunyonyesha) ni best skincare ingredient. Halsey amesema toka ajifungue mwanae mwaka 2021, skin care routine yake imebadilika “I’ve always been really…
Jali Ngozi Kwa Kufanya Haya
Wengi hudhani kujali ngozi ni kupaka mafuta au kutumia skin careĀ lakini kumbe kuna vitu vichache ambavyo tuna visahau kufanya na ni muhimu sana, vitu hivyo ni kama; Badilisha foronya za mito unayolalia. Tunapo lalia foronya kuna bacteria wengi ambao tunawaacha hivyo hata kama ukiwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…