Sababu 6 Kwanini Kipodozi Chako hakifanyi Kazi Ipasavyo
Umeshawahi kujiuliza kwanini kipodozi chako hakifanyi kazi ipasavyo? Na unatamani kuachana nacho na kutafuta kipodozi kingine? Well DON’T kuna sababu nyingi sana aambazo huchangia kipodozi kisifanye kazi yake vizuri. Leo tutaongelea sababu hizo. Kutokutumia Kipodozi Ambacho Kina-regimen za aina ya ngozi yako Hapa ndipo unakuja…
Scrub Ya Kuondoa Ngozi Iliyokufa Katika Ngozi Ya Uso Na Shingo
Uso na shingo ni sehemu ambazo zinakuwa exposed sana na jua au hali ya hewa yoyote kuliko sehemu nyingine za mwili. Usipokuwa makini na kuzijali basi zinaweza kuwa na muonekano wa tofauti na sehemu nyingine za mwili. Ngozi ilikufa inatokana na nini? Umri kutokusafisha ngozi…
Je Nahitaji Kutumia Towel / Taulo Tofauti Mwilini Na Usoni?
Tunatumia muda mwingi katika kuhakikisha ngozi zetu zinakuwa nzuri, unakuwa na skin care routine, unaosha uso wako vyema lakini bado utakuta matokeo hayawi vile ambavyo unategemea kumbe kuna baadhi ya vitu vidogo vidogo ambavyo vinasababisha hili kimoja wapo ikiwa ni Taulo, Khanga, Kitenge au kitu…
Boresha Muonekano Wa Ngozi Yako Kwa Kutumia Yai
Jinsi ya kufanya ukitaka kutumia yai kuboresha mwonekano wa ngozi: Chukua yai, changanya na asali kijiko kimoja cha chai, na mafuta ya Olive. Chukua mchanganyiko huo kisha paka usoni na shingoni; kaa hivyo kwa dakika 15. Hii itasaidia kama una mashimo usoni yanayotokea chunusi zinapochubuka….
Jinsi Ya Kutumia Ndizi Kwenye Urembo
Mbali na kulika, ndizi zina manufaa mengine, hasa katika urembo wa ngozi.Ndizi zina virutubisho muhimu vinavyoboresha ngozi. Ndizi pia zina aina tatu za sukari zinazojulikana kama ‘sucrose’, ‘fructose’ na ‘glucose’. Hakikisha unanawa uso wako mara mbili kwa siku. Unapofanya hivyo unaondoa uchafu,Ndizi pia husaidia kuzuia…
Indian Home Remedy Inayoweza Kukusaidia Kuondoa vichwa vyeusi “blackhead”
Asili ya home remedy hii ni India. Ni nzuri kuondoa vichwa vyeusi “blackheads” Blackheads /Closed comedone ” vichwa vyeusi” Ni Aina ya Chunusi ambayo hutokea baada ya kuongezeka kwa sebum na Ngozi iliyokufa. Kama katika kuongezeka huku kwa sebum na seli za ngozi zilizokufa, kijitundu cha…
Facial Treatment Kutumia Vitu Vya Jikoni
Uzuri wa ngozi sio rangi tu bali ni muonekano wa ngozi yenyewe kwamba ina afya na mng’ao unaoashiria afya njema.Leo jifunze jinsi ya kufanya facial treatment kwa kutumia vitu vya jikoni kama kiini cha yai,machicha ya nazi,tango na limao. Facial hii inaweza kufanyika Mara moja…
Jinsi Ya Kutumia Tango Kuilainisha Ngozi
Tango ni tunda muhimu sana katika kusaidia afya na uzuri wa ngozi. Unaweza kula tunda lenyewe, kupaka juisi yake, kugandika vipande vyake vidogo vidogo au kunywa juisi yake. Njia zote hizo zinakusaidia kupata virutubisho muhimu kwa ngozi yako. Tango husaidia sana kulainisha ngozi na kuikaza…
Scrub Ya Maziwa, Asali Na Limao Kwa Ajili Ya Ngozi
Watu wengi sasa hivi wameharibika uso vibaya kutokana na hali ya upepo ambao unasababisha ngozi kuwa mbaya na wengi wamejikuta wakibadilisha badilisha mafuta au cream ya kupaka.Unaweza kujikuta unabadilisha kila aina ya mafuta lakini bado ngozi yako ikawa mbaya tu na usijue la kufanya. Leo…
Hatua 3 Rahisi Za Kung’arisha Uso
Sote tunapenda kuwa na ngozi nyororo yenye mvuto, lakini wengi wetu ni kitu gani sahihi cha kufanya ili kuweza kupata muonekano huo, leo BintUrembo amekuletea hatua tatu rahisi unazoweza kufanya ili kuweza kung’arisha uso wako 1. Tumia Facial Cleanser kusafisha uso wako. Ni nzuri zaidi…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…