Namna Ya Kutumia Bia (Beer) Kupata Nywele Laini Na Zenye Afya
Seems like bia sio tu katika afya lakini pia inafaida katika urembo katika nywele na ngozi, wakati wengine wakipenda kuinywa ili kujifurahisha na marafiki zao na wengine husema zinapoteza mawazo, sisi wengine tunatumia kilevi hiki katika kupata laini na zenye afya. Ndizi Inavyo Weza Kukusaidia…
Njia Ya Kuondokana Na Ukavu Wa Nywele
Kama una nywele natural / za asili utakuwa unajua shida ya hizi nywele kukaa na unyevu au kuwa na mafuta wakati wote. Nywele zetu za kiswahili ni kavu na zinanyonya sana mafuta. Hii method inasaidia kuzipa nywele zako unyevu unaotakiwa. Wengi tukishaosha nywele tunapaka tu…
Style Ya Nywele Ya Kidoti Inavyo Haribu Nywele Zako
Hii style imekuwa maarufu sana, ni style rahisi kuibana lakini pia ni style ambayo unaweza kwenda nayo popote iwe kazini, kwenye mitoko ya kawaida na sehemu nyingine mbalimbali. Kutokana na urahisi wake wa kubana na kuwa useful wengi wetu tunapenda kuitumia mara kwa mara, lakini…
Faida Za Foronya Za Satin/Silk Kwenye Nywele
Inawezekana unatumia pesa nyingi katika kununua products za nywele lakini bado unaona matokeo sio mazuri au yanachelewa kujionyesha, hii inawezekana ni kutokana na kitambaa cha mto au shuka unalolalia. Mito au mashuka ya cotton huwa yananyonya mafuta kwenye nywele lakini pia kuzifanya ziwe fizzy na…
Je Ni Sawa Kuosha Wig Lako Kwa Kutumia Champagne
Well mwaka 2018 trend ya kuosha nywele kwa kutumia kinywaji cha champagne iliingia sana ambapo tulimuona Instagram star Madina Shrienzada akiwa anaosha nywele zake kwa kutumia Champagne na kwa kunukuu alisema ” IY SHINY 😻HAIR🥂USING CHAMPAGNE 🥂 TO RINSE YOUR HAIR! 🎂Sooo I TESTED THIS…
Fanya Haya Kuacha Kuharibu Nywele Zako Na Matumizi Ya Moto
Kwa wapenzi wote wanaopenda nywele hakuna kitu kinachoua nywele kama matumiz ya moto unaotokana na dryer, blow dryer au pasi . Jinsi Ya Ku-Blow Dry Nywele Za Asili Bila Kuziharibu Wengi wanaamin kua njia pekee ya kukausha au kunyoosha nywele ni kutumia moto lakin hayo…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…