How Celebrities Are Styling Knee/Thigh High Boots
Moja kati ya viatu ambavyo huwa vina upgrade muonekano ni boots, ukiachana na ku-upgrade muonekano boots huvaliwa mara chache sana hasa huku kwetu Africa kutokana na hali ya hewa yetu kidogo hairuhusu hivyo unapozivaa zinakupa utofauti na ku-stand out na wengine. Tumeona toka mwishoni mwa…
Ramadhani Beauty Looks From Tanzanian Celebrities
Mwezi mtukufu wa Ramadhani umeanza na kama kawaida watu maarufu wengi huwa wanatupa looks za stara katika mwezi huu Mtukufu, kila mmoja anajitahidi kupendeza na looks zake za stara, tumewaona watu maarufu kadhaa wakiwa wamependeza na hijab zao na makeup pia, well ukifunga haimaanishi usipendeze….
Beauty Looks From Last Week
Linapokuja swala la makeup watu maarufu huwa hawa-play games, the face must serve hata kama outfit itakuwa ya kawaida lakini sura lazima iwe vyema kabisa, iwe ni simple makeup au bold makeup look. Week iliyopita tumewaona watu maarufu mbalimbali waki-serve glam looks akiwepo Fahyma, Hamisa…
Reviewing The Kid You Know Album Release Looks
Jumamosi iliyopita ilikuwa album release ya msanii Marioo, ambapo aliamua kufanya event pale Mlimani City na kuhudhuriwa na watu maarufu na fans wake. Well kama kawaida yetu tuliangalia nani amevaa nini na Je kapendeza au lah? Bado tunaona kuna tatizo la kujua cha kuvaa kutokana…
Beauty Looks From Last Week
Kama kuna kitu ambacho watu maarufu hutulia mkazo ni mionekano yao, as a star you need to bring your A game off & on the screen, ikiwa una watu wanaokufuatilia basi unahitajika kuonekana vizuri kuanzia mavazi mpaka makeup zako. Lakini si tu makeup bali pia…
Shoes We Spotted Last Week
Tunajua vazi halikamiliki bila ya viatu na viatu vinaweza kufanya vazi lako liwe zuri au viharibu, mara nyingi huwa tunasahau hili swala kwamba viatu vina play part kubwa katika mionekano yetu. Week iliyopita watu maaru mbalimbali iwe ni fashionista’s, wanamuziki au waigizaji walipost picha zao…
Beauty Looks From Last Week
Iwe kwenye mitoko au kuwa sehemu za kawaida watu maarufu na wasio maarufu hupenda kunogesha mionekano yako kwa kuongezea kupaka makeup, lets say ni kitu ambacho huwa kinanyanyua sana mionekano yao na kuongeza kunogesha urembo wao wa kawaida. Last week tuliona looks hizi nne kutoka…
Reviewing Hamisa Mobetto, Kajala, Nandy National Park Photoshoots
Utalii wa ndani unaonekana kukua siku mpaka siku, tunaona watu maarufu pamoja na wa Tanzania wakawaida wakiwa wanatembelea mbuga za wanyama na kupiga picha zinazo vutia wakiwa huko, leo tunaangalia watu maarufu zaidi je walivaa nini na je walipendeza au lah? Tuanze na Hamisa Mobetto…
Elisha Red Label Tells The Story Behind Nandy’s Reception Dress
Tunaweza sema Nandy being a fashionista aliweza kutukosha moyo na her reception dress japo baadhi walikuwa na maoni kinzani juu ya kuonyesha her precious baby bump AFS: Tuanze the dress ambapo the baby bump iliweza onyeshwa, the idea ilitoka wapi, kwako, Nandy ama pamoja? Elisha:…
Details On Nandy’s Kitchen Party, Sendoff & Wedding Dresses
Inawezekana uliifuatilia hii harusi kwakina kabisa na ukapenda baadhi ya mavazi (gauni) aliyoyavaa Nandy na hujui yalitoka wapi au unaweza kuyapata wapi,well hizi ndizo details tulizozipata kuhusu magauni aliyoyavaa Nandy. Kitchen Party Dress by Elisha Red Label Nandy alivalishwa na mbunifu kutoka Tanzania Elisha Red…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…