Tips Za Kupata Ngozi Nzuri
Kupata ngozi nzuri yenye kuridhisha ni janga, na hii hutokana na maswala mbalimbali kama tunavyokula, ukuaji, tunavyovitumia na mengine mengi. Lakini unaweza kupata ngozi nzuri endapo tu utajaribu kufanya mambo haya manne; Usitumie Bidhaa Za Ngozi Nyingi Wengi wetu tuna hii tabia unatumia kipozi hiki…
Namna Ya Kujali Ngozi Yako Ukiwa Na Miaka 30
Mchakato wa ngozi kuanza kuzeeka huanzia ukiwa na miaka 20, japo katika miaka hii huwa haitokei sana. Lakini tunapofikia kwenye miaka 30 kwenda mbele kunakuwa na mabadiliko makubwa kama cell turnover slows down na kufanya ngozi zetu kuwa rahisi kupata chunusi, hyperpigmentation, milia, & uneven…
Hatua 8 Za Kufanya Ngozi Yako Ionekane Kijana Daima
Kuwa na ngozi yenye muonekano mzuri ni jambo la kujivunia kwa watu wa rika zote hapa duniani. Watu huwa wanatumia kiasi fulani cha kipato chao kwa ajili ya kutunza wa ngozi zao. Hivyo ni vyema ukawa na ufahamu sahihi wa jinsi gani ya kutunza ngozi…
Je Unatakiwa Kupaka Kipodozi Katika Ngozi Nyevu Au Kavu?
Umesahawahi kujiuliza unatakiwa kupaka kipodozi chako ngozi ikiwa imekakuka au ikiwa na majimaji (nyevu)?, wengi wetu tukishamaliza kuoga au kunawa tunajifuta maji tukauke ndio tupake vidopozi, well leo tupo hapa kukupa taarifa kwamba you are doing it wrong sis/bro. Kutokana na tafiti zinaonyesha kupaka kipodozi…
Namna Ya Kupata Ngozi Ng’avu Kiasili
Sote tunapenda ngozi ng’avu, lakini hatujui nini cha kutumia tuwe tu wang’avu bila ya kuchubua ngozi zetu, kama ukienda kwenye maduka yavipodozi utasikia wadada wengi wana taka kipodozi cha kuwang’aza lakini kwa bahati mbaya wengi wetu tunakosea hili neno kwa kuwa mweupe, mtu anapo sema…
Faida Za Tende Na Maziwa Katika Mwili Na Urembo
Umesha wahi kusikia au kuambiwa unywe tende na maziwa katika mwezi huu mtukufu? wengine huwa wanashauri unywe kama una fanya mazoezi, wengine ushauri kama wewe si mpenzi wa kula daku basi aumke unywe tende na maziwa vina aminika kwa kuwa na uwezo wa ku-boost energy…
Sishkikii Na Safari Yake Katika Skin Lightening
Fashionista Sishkikii ame-reveal kuwa anaanza safari ya kung’aza ( lightening) ngozi yake, well tulishawahi kuongelea kuhusu utofauti kati ya skin lightening na skin brightening. Ila kwa kifupi tu Tunapoongelea Lightening ( Kung’aza) Tunaongelea kung’aza ngozi kuwa katika hali ya kawaida, hii ni kama pale unapopata…
Njia Rahisi za Kutunza Ngozi Yako Ya Uso Katika Weekend
The weekend has landed, weekend huwa tunatumia muda mwingi kuhakikisha mambo yanaenda sawa katika miili yetu na hata majumbani, ni muda wa mapumziko ambao tunatumia kusafisha nyumba, mavazi, na hata kufanya usafi wa mwili oh yes weekdays unakuwa na haraka na huna muda wa kutosha…
Matumizi Ya CHumvi Katika Urembo Wa Ngozi
Pamoja na kutumiwa kama kiungo katika mapishi mbalimbali. Chumvi ina umuhimu wake katika suala zima la urembo. Je, unafahamu kuwa chumvi inaweza kutumika kama kipodozi na kukuacha ukiwa na ngozi nyororo na ya kuvutia? Kumekuwepo na sababu mbalimbali zinazopelekea warembo kupata matatizo ya ngozi, kitendo…
Skin Goals Ni Ipi?
Wakati tupo kwenye mitandao tunaweza kudanganyika na baadhi ya matangazo ambayo yanatuaminisha ngozi nzuri ni zile ambazo hazina kasoro, lakini kumbe kila mtu ana ngozi ya aina yake inawezekana kuna waliobarikiwa hawana madoa au vipele lakini pia ukiwa unavyo haimaanishi ngozi yako ni mbaya. Huwezi…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…