Jali Ngozi Kwa Kufanya Haya
Wengi hudhani kujali ngozi ni kupaka mafuta au kutumia skin careΒ lakini kumbe kuna vitu vichache ambavyo tuna visahau kufanya na ni muhimu sana, vitu hivyo ni kama; Badilisha foronya za mito unayolalia. Tunapo lalia foronya kuna bacteria wengi ambao tunawaacha hivyo hata kama ukiwa…
Anti Age Skin Care Tips
Hakuna anaetaka kuzeeka wengi wetu tunapenda kuonekana vijana daima, tukiwaona watu maarufu ambao wana umri mkubwa halafu ngozi zao bado nzuri hazijajikunja huwa tunawaza wanafanya nini au wamewezaje kuwa na ngozi nzuri vile, well leo tunakuibia siri ya wao wanawezaje, Well fuatisha hizo tips na…
Vipodozi Ghali Vya Ngozi Haimaanishi Ufanisi Mzuri
Kwasasa kama kuna industry inayoingiza pesa ukiachana na chakula basi ni skincare, sio kwa wakaka sio kwa wadada wote tunapenda kuwa na mionekano mizuri ya ngozi zetu kila mmoja anatamani apate kipodozi ambacho kitafanya ngozi yake iwe nzuri kabisa. Kutokana na hili basi brand nyingi…
Ni Muda Gani Usubiri Kupaka Makeup Baada Ya Kupaka Skin Care?
Kuwa na skin care routine is no joke, hasa pale ambapo ni mfanyakazi unahitaji kuamka mapema na hata kama umechoka usiku inabidi usipande kitandani mpaka uhakikishe umepaka night skincare yako. Sasa kuna kile kipengele cha asubuhi unataka kuwahi kwenye mihangaiko yako na unatakiwa upake skincare…
Your Skin Can Be Oily And Dehydrated At The Same Time
Kuwa na ngozi yenye mafuta haimaanishi basi huitaji maji wala kupaka mafuta kwenye ngozi yako, watu wenye ngozi zenye mafuta wengi utawasikia wakisema “sipaki chochote ngozi yangu tayari ina mafuta”. Lakini kuna bidhaa ambazo zinafaa wenye ngozi hizi lakini pia hata kama ngozi yako inamafuta…
Je Upi Ni Muda Mzuri Wa Kutumia Vipodozi Vya Ngozi?
Umeshawahi kujiuliza kwanini cream ambayo wengine wengi wanaisifia lakini kwako haifanyi kazi? Umeshawahi kufikiria labda huitumii kwa muda unaotakiwa? ( Muda sahihi). Kujua ni bidhaa gani inafaa kutumia katika ngozi yako ni jambo moja ambalo wengi huwa tunalitilia maanani lakini huwa tunasahau kuuliza ni muda…
Tips Za Kupata Ngozi Nzuri
Kupata ngozi nzuri yenye kuridhisha ni janga, na hii hutokana na maswala mbalimbali kama tunavyokula, ukuaji, tunavyovitumia na mengine mengi. Lakini unaweza kupata ngozi nzuri endapo tu utajaribu kufanya mambo haya manne; Usitumie Bidhaa Za Ngozi Nyingi Wengi wetu tuna hii tabia unatumia kipozi hiki…
Namna Ya Kujali Ngozi Yako Ukiwa Na Miaka 30
Mchakato wa ngozi kuanza kuzeeka huanzia ukiwa na miaka 20, japo katika miaka hii huwa haitokei sana. Lakini tunapofikia kwenye miaka 30 kwenda mbele kunakuwa na mabadiliko makubwa kama cell turnover slows down na kufanya ngozi zetu kuwa rahisi kupata chunusi, hyperpigmentation, milia, & uneven…
Hatua 8 Za Kufanya Ngozi Yako Ionekane Kijana Daima
Kuwa na ngozi yenye muonekano mzuri ni jambo la kujivunia kwa watu wa rika zote hapa duniani. Watu huwa wanatumia kiasi fulani cha kipato chao kwa ajili ya kutunza wa ngozi zao. Hivyo ni vyema ukawa na ufahamu sahihi wa jinsi gani ya kutunza ngozi…
Je Unatakiwa Kupaka Kipodozi Katika Ngozi Nyevu Au Kavu?
Umesahawahi kujiuliza unatakiwa kupaka kipodozi chako ngozi ikiwa imekakuka au ikiwa na majimaji (nyevu)?, wengi wetu tukishamaliza kuoga au kunawa tunajifuta maji tukauke ndio tupake vidopozi, well leo tupo hapa kukupa taarifa kwamba you are doing it wrong sis/bro. Kutokana na tafiti zinaonyesha kupaka kipodozi…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se⦠https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…