Jinsi Ya Kuwa Na Ngozi Nyororo
Hatuwezi kukataa sote tunahitaji ngozi laini na nyororo, lakini mbinu au njia tunazotumia muda mwingine hutuacha na matokeo tusiotaraji kupata baada ya kufuata njia hizo. Ni kwasababu tumeumbwa tofauti na tunadhani kutumia njia iliyomsaidia mwingine itatusaidia na sisi na kugundua ni kinyume kabisa. Usijali, hizi…
Huwezi Kupata Ngozi Nzuri Kwakuwa Na Skincare Routine Tu
Watu wengi wamekuwa wakipotea hapa, tunakesha kuuliza kuhusu skin care routine za wengine, tunakesha kutafuta vipodozi vizuri vya bei ghali, inawezekana tukapata hivyo vipodozi lakini bado ngozi zetu zikaendelea kuwa na hali mbaya, kwakuwa tunasahau kwamba skincare routine ni moja ya sehemu 3 za kupata…
Steps To Glow Skin
Kupata ngozi nzuri yenye kuvutia si swala la siku moja, inahitaji uvumilivu na consistency. Utapokuwa na kupata matokeo kwa haraka unaweza usipate kabisa matokeo mazuri, utabadilisha products na pesa bila kupata matokeo, hizi ni steps chache za kupata glow skin: Maji Anza siku yako kwa…
Jinsi Ya Kutumia Ndizi Kwenye Urembo
Mbali na kulika, ndizi zina manufaa mengine, hasa katika urembo wa ngozi.Ndizi zina virutubisho muhimu vinavyoboresha ngozi. Ndizi pia zina aina tatu za sukari zinazojulikana kama ‘sucrose’, ‘fructose’ na ‘glucose’. Hakikisha unanawa uso wako mara mbili kwa siku. Unapofanya hivyo unaondoa uchafu,Ndizi pia husaidia kuzuia…
Hatua 3 Rahisi Za Kung’arisha Uso
Sote tunapenda kuwa na ngozi nyororo yenye mvuto, lakini wengi wetu ni kitu gani sahihi cha kufanya ili kuweza kupata muonekano huo, leo BintUrembo amekuletea hatua tatu rahisi unazoweza kufanya ili kuweza kung’arisha uso wako 1. Tumia Facial Cleanser kusafisha uso wako. Ni nzuri zaidi…
Namna Ya Kupata Ngozi Nyororo Kwa Kuogea Maziwa
Siku chache zilizopita mwanadada aliweka wazi kwamba moja kati ya vitu anavyofanya ilikupata ngozi nzuri ni kuogea maziwa, na watu wengi walishikwa na butwaa kwamba unaogeaje maziwa? Tumeona sio mbaya kama tukiwaletea namna ambavyo unaweza kuogoea maziwa na kupata ngozi nzuri, Kwanini Maziwa? Maziwa ya…
Jinsi Cream Mask Inavyoweza Kukuokoa Na Uzee Wewe mwenye miaka 45+
Je umefatilia sehemu ya kwanza ya kufahamu kuhusu mask. Kama bado pitia uone jinsi peel off mask inavyoweza kuondoa blackheads “vichwa vyeusi”, na whiteheads “vichwa vyeupe”. Jinsi Peel Off Mask Inavyoweza Kuondoa Blackheads Leo tunaendelea na Sheet mask Sheet mask ndio mask pekee inayoweza kutumiwa…
Pata Ngozi Yenye Mng’ao Kwa Kutumia Vitu Vya Asili
Andaa maji masafi yenye joto kiasi unachomudu ktk ngozi yako, osha uso wako kwa hayo maji safi . Kama una ngozi kavu au ya kati chukua kipande cha tango🥒 kidogo na upake yale maji yake usoni, kwa wenye ngozi ya mafuta unaweza kutumia kipande cha…
Jinsi ya kupata (Ngozi mtelezo) Flawless Skin
Kuna watu ni wazuri jamani ila uzuri wao hauonekani sababu ngozi zao zipo rough sana, ubora wa ngozi ni matokeo ya mambo mengi sana ,najua kufanya yote kwa sisi tulio busy ni ngumu kidogo , ila ukifanya japo mawili matatu utanawirika tu. Nakukumbusha mambo hayo…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…