Noel Ndale Aandamwa Kwa Kuvaa Kivazi Aina Ya Crop Top
Crop tops are making their way back, ikiwa watu wengi kwasasa wanafanya mazoezi na kuwa na flat tummy’s tumeona wanapenda kuonyesha matumbo yao kwa kuvaa na crop tops. Tumewaona watu maarufu kama Noel Ndale, Ally Rehmtullah, Lady Jay Dee, Sishkiki na Aunty Ezekiel wakiwa wamevalia…
How Macrida Joseph, Rio Paul & Noel Ndale Slaying The Streets Of Dubai
Watu maarufu wengi kwasasa wapo Nje ya Nchi huku wengi wao wakionekana wapo Dubai, kati ya wengi hao tumewaona stylist’s wakubwa kabisa kutoka Tanzania ambao ni marafiki wakiwa huko Dubai kwenye Vacation. Ikiwa ni ma stylist’s tukaona tuwaletee nini wamevaa kwenye Vacation yao na labda…
Men Purse Trend By Diamond Platnumz & Stylist Noel Ndale
Zamani wanaume walikuwa wanabeba laptop bags na wallet tu, lakini sasa hivi tunaweza kuona wanaume wakiwa wamevalia fanny packs kiunoni, kubeba men handbags na sasa tunaona wana murse au men purse. Je Ni Sawa Mwanaume Kubeba Mkoba Tuna support men in wearing anything they’d like,…
Best And Worse Looks From Last Weeks
Tunajua mlimiss hii segment, Yes we miss doing this too. Sote tunajua kwa sasa watu hatutoki toki kutembea lakini hii haimaanishi basi tusipendeze yaani tujiweke weke tu. Leo tunakuletea best looks ambazo tumeziona Juma lililopita na zile ambazo tumeona zimekuwa kama covid 19, yaani kirusi….
Rio Paul’s Virtual Global Birthday Soiree Fashion Review
Tukiendelea kuchukua tahadhari elekezi katika kujikinga na COVI19, tuliweza sheherekea birthday ya Tanzania’s male fashionista and stylist, Rio Paul kupitia his social media online. The virtual global birthday soiree haikuweza kamilika bila the best fashion statements and Afro’s review. Rio Paul A happy birthday it…
Namna Ambavyo Watu Maarufu Walivyotutakia Heri Ya Christmas
Christmas hii ilipambwa hasa, watu maarufu wengi walionekana kufanya photoshoot zenye theme ya rangi za Christmas ambazo ni kijani na nyekundu lets say most of them nailed their look.
Mid December Looks We Spotted From Tanzania Celebrities
December ni mwezi wa mapumziko, wengi hutumia mwezi huu kukaa na familia zao, lakini pia shopping na slayage huwa zinafanyika sana. Hii ni baadhi ya mionekano tuliyoiona toka mwezi huu uanze na ikatuvutia Msanii wa bongo fleva Faustina Charles Mfinanga A.K.A Nandy akiwa amevalia orange…
Reviewing The Best & Worse Looks From Last Week
Week iliyopita kulikuwa na sherehe mbalimbali na watu maarufu mbalimbali walihudhuria leo tunafanya review ya baadhi ya mionekano tuliyoiona na tunatoa marks zetu
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…