Chic Martenity Outfits Kutoka Kwa Ayanda Thabete
At this point we can all agree Rihanna just unlock the new era of martenity looks, huko mitandaoni kwasasa kila mtu ana show mimba yake oh yes if we can celebrate ab’s we can celebrate mother hood too, like hide it for who? Toka mwaka…
Meghan Markle’s Slaying Her Pregnancy On Her Royal Tour
Meghan Markle na mumewe Prince harry hivi karibuni wametangaza kwamba wana expect mtoto wao wa kwanza, kwa sasa wapo kwenye royal tour ya Commonwealth halfway across the globe. Kuanzia October 16 mpaka 31, wawili hawa watakuwa kwenye hii tour na watatembelea Australia, Fiji, the Kingdom of…
Cardi B Anavyo Slay Katika Ujauzito Wake
Rapper Cardi B alitangaza ujauzito wake jumapili hii akiwa ana perform katika show ya saturday night live, Japo watu walikuwa tayari wameshaanza kumuhisi Cardi na kama amefanya ionekane official tu. Cardi ana ujauzito ambao amepewa na rapper mwenzie Off Set Kutoka katika kundi la migos. Well hongera…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…