3 Times Shuu & Darleen Served Some BFF’s Wedding Guest Looks
Kuna ule urafiki unafikia mpaka mnajiona mapacha, mnavaa sare hasa kwenye baadhi ya sherehe ambazo mnaalikwa pamoja, hii imeonekana kwa mwanamuziki Queen Darleen na rafiki yake Designed by Shuu ambao wao wanajiita Zena na Betina. Well Shuu na Darleen huwa wanavaa sare na wakati mwingine…
Ramadhani Beauty Looks From Tanzania’n Celebrities
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umeanza, na kwa sasa watu maarufu mbalimbali wamebadilisha mionekano yao. Ikiwa wengi wanavalia mavazi marefu leo tumejaribu kuangalia looks zao za makeup. Tumewaona Zuchu, Queen Darleen, Hamisa Mobetto na Meena Ally wakiwa na makeup nzuri zilizo tulia tumewaletea hapa in case…
Aunty Ezekiel And Queen Darleen Channeling Their Inner Kim K In These Pregnancy Outfit
Wanadada Aunty Ezekiel Na Queen Darleen ni wajawazito kwa sasa, na wote wameonekana kujipenda katika ujauzito wao na wamekua wakituonyesha mionekano tofauti tofauti. Week hii wote wawili walikuwa kwenye hafla ambazo walihitajika ku-dress up Aunty alikuwa na uzinduzi wa reality tv show yake inayoitwa “MAMA…
The Best Beauty Looks Of The Week From Hamisa Mobetto, Elizabeth Michael And Others
“Makeup magnifies the beauty that already exist “, kupaka makeup hakumaanishi kunakubadilisha kile ambacho unacho bali kinaongezea kukifanya kile ambacho unacho kuwa bora zaidi. Kama ambavyo tunajua watu maarufu huchukua muda wao kutuonyesha mitoko yao na makeup looks zao kupitia katika mitandao ya kijamii, week…
HOT TOPICS
May Be “May Be” They Will Listen To Flavy 😂, Some Of Them Have Full Makeup On Wanatangaza Product Ya Uso 🤔 https://t.co/1OysMjaJd8
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…