Viva Magenta Yatajwa Kuwa Rangi Ya Mwaka 2023
Kila mwka Kampuni ya Pantone inayodeal na global color trends hutaja rangi ya mwaka, Mwaka huu kampuni hio imeitaja PANTONE 18-1750 Viva Magenta kuwa ndio rangi ya mwaka 2023. Kampuni hio imetaja kwamba rangi hii ina describe rangi hii kama “crimson red tone that presents…
Very Peri Yatajwa Kuwa Rangi Ya Mwaka 2022
Kampuni ya Pantone inayodeal na global color trends yaani imejikita katika utafiti wa rangi katika tasnia ya fashion hutoa rangi ambayo ndio huitwa rangi ya mwaka, Mwaka jana tuliona rangi mbili zilichaguliwa kuwa rangi za mwaka. Lakini mwaka huu 2022 rangi ya Pantone 17-3938 Very…
Pantone Wametangaza Rangi Ya Mwaka 2021
Kila mwisho wa mwaka kampuni ya Pantone inayodeal na global color trends yaani imejikita katika utafiti wa rangi katika tasnia ya fashion hutoa rangi ambayo ndio huitwa rangi ya mwaka. Mwaka huu pantone wametaja rangi mbili kuwa rangi za mwaka 2021 ambapo rangi hizo ni PANTONE…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…