Red Carpet Looks From The Oscars 2023
Tuzo za “The Oscars” ni Tuzo hutolewa kwa artistic na technical merit waliopo katika tasnia ya filamu, Watu maarufu mbalimbali ambao wapo kwenye Tasnia hii hualikwa na kuhudhuria hafla hii ya ugawaji Tuzo, well kwa mwaka huu imefanyika usiku wa kuamkia leo na tupo hapa…
Asake And Rihanna Rocking Skirt As A Top
2018 Rihanna alionekana kwenye mishe zake akiwa amevalia denim look, huku akiwa amevalia skirt kama top au au accessory na sote tunajua mwanadada huyu anavyopenda ku-take risk hasa linapokuja swala la mitindo. Rihanna Aja Na Style Hii Ya Kuvaa Short Skirt last weeke mwanamuziki kutoka…
Rihanna Arudia Kuvaa Jacket Hili Baada Ya Miaka 7
Major congratulations to Bad Gal Riri na mpenziwe Asap Rocky ambao wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza, As usual Rihanna never disappoints amekuwa aki-slay maternity looks zake back to back kuanzia pregnancy revealing photoshoot, to street style & red carpets. Lakini ambalo tumeona hivi karibuni…
Rihanna, Kim Kardashian, Macrida Joseph In Pelvic Cutouts Trend
Wakati Puff Sleeve zikiendelea ku-make headlines seems like zitapumzika hivi karibuni na Pelvic Cutouts kuchukua nafasi yake. Watu maarufu mbalimbali wameonekena kuvutiwa na trend hii ambayo ni kuwa na cut out kwenye maeneo ya kiunoni ya vazi. Well tumewaona watu maarufu kutoka Nchi za Nje…
Looks From Met Gala 2021
Wenyewe huwa wanaiita “fashion’s biggest night out,” the Met Gala 2021 ni fundraising benefit for the Metropolitan Museum of Art in New York City. Mwaka huu wa 2021 Theme ya event hii ilikuwa “In America: A Lexicon of Fashion, theme hii honors anything and everything…
Gq Wamtaja Asap Rock Kuwa Prettiest Man Alive
Rapper Asap Rock ametajwa kuwa prettiest man alive na gazeti kubwa la GQ, Asap amekuwa aki-make headlines kutokana na mitindo yake mbalimbali ya mavazi. Ni moja ya rapper ambao anavaa chochote kitakacho mpendeza machoni kwake, kuanzia skirt, kupaka rangi kucha na kuvaa babushka. katika interview…
Bottega Veneta Wrap-tie Mesh pumps
Bottega Veneta wamekuwa wakitoa trending products back to back, zilianza handbags na sasa ni hivi viatu ambavyo ni Wrap Tie Mesh Pumps, viatu hivi vinauzwa USD 930 sawa na TSH 2,156,863.44. Tumewaona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia hivi viatu akiwepo Rihanna, Nicki Minaj, Toke Makinwa,…
Rihanna Is Making The Street Her Run Way
Rihanna amekuwa kimya kwa muda sasa kuanzia kwenye muziki hadi kuonekana mitaani ( Inawezekana kutokuonekana ni kutokana na janga la corona). Lakini hivi karibuni ameonekana mitaani akiwa ametoka kwaajili ya shughuli zake mbalimbali na kama kawaida she is slaying the streets. Ameonekana akiwa kwenye mavazi…
Braids And Natural Hair Moments From Magazine Covers To Runway
Gone are the era’s of praising wigs and weaves, ilikuwa si kawaida sana kukuta watu maarufu wamesukia rasta au kuwa na african natural hair katika covers za magazine au kutembea katika runways lakini kwa sasa tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wanatumia natural hair na rasta…
Elizabeth Michael,Rihanna, Spice Diana Na Wengine Katika Color Blocking Trend
Week hii tumeona kilicho trend mtandaoni ni block colors trend, hii trend huwa inaenda na kurudi. Kuna ambao wanaipenda na kuna wengine ambao hawajawahi kuipenda, mmoja wapo akiwa blogger Missie Popular ambae alitamani hii trend isirudi tena “Afroswagga – Tutajie fashion trend ambayo huwezi kuijaribu…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…