Maoni Yetu Katika Fashion Couture Affair Event 2019
Tarehe 23 Feb 2019, Tamasha la mitindo liitwalo Fashion Couture Affair lilifanyika kwa mara ya kwanza hapa Nchini kwetu Tanzania, wabunifu mbalimbali wali-showcase kazi zao na tunaweza kusema we can’t wait kuona mwakani watatuletea nini. Onyesho hili lilijumuisha wabunifu kutoka Tanzania na Nchini Kenya tulipata…
Balmain Couture 2019 Collection Is Our Body, Soul And Spirit
Paris Fashion Week Haute Couture SS19 inaendelea huko Nchini Paris, Designers wameonyesha collection zao na we were excited to see what Balmain italeta mwaka huu as we all know creative director wa Balmain Olivier Rousteing does not play linapokuja swala la kuwasilisha collection zake, well Olivier…
Trend’s And Pieces We Liked Form Swahili Fashion Week 2018
Ule muda ambao wengi wenu Afro mates mnaupenda ndio huu, muda ku-review nini tumekiona kutoka katika Swahili Fashion Week, mbunifu yupi alipandisha kipi na kama tumekipenda au lah, vitu gani na gani tumeona vya tofauti na kuvipenda na vipi vili-trend, tupo hapa kwa ajili yenu…
Tujifunze Kutoka Lagos Fashion Week Na South Africa Fashion Week
Lagos Fashion Week Na South Africa Fashion Week zimefanyika week iliyopita na ukweli usemwe wenzetu wanajitahidi sana katika kutumia hii nafasi vizuri kujitangaza, na hii sio tu wabunifu bali wanamitindo, fashionista’s, fashion bloggers na wadau wa mitindo kiujumla. Sisi tulikuwa tunaangalia nini ambacho wanafanya na…
Runway Report From Glitz Africa Fashion Week 2018
Glitz Africa Fashion Week imeanza huko Ghana, wabunifu kutoka Africa wameshiriki ku-show case collection zao, kuna vingi ambavyo tumeviona na vya kujifunza katika Glitz Africa Fashion Week tukiwa tunaelekea katika SFW 2018 let’s see wenzetu wameonyesha mitindo gani. LUMIERE WOMEN did women of middle age and…
Fendi Spring 2019 Ni Moto Wa Kuotea Mbali
Fendi is having a moment wakati msimu uliopita ulikuwa all about the logos and oh boy tulizichoka, mtaani kila mtu kavaa Fendi Logo, ukiingia mitandaoni Fendi but well its all about the Mulla & mapenzi na trends za fashion, katika Collection ambazo tulikuwa tunazisubiri kwa…
Wanamitindo Wapandishwa Jukwaani Vifua Nje Katika Mercedes-Benz Fashion Week 2018
Mercedes-Benz Fashion Week inaendelea huko Accra Nchini Ghana, ambapo week iliyopita tuliona jinsi mbunifu Bijoux Trendy kutoka Tanzania alivyo show case mavazi yake katika event hio na jambo kubwa tulilo liona kutoka kwake ni kumpandisha model akiwa bra-less, lakini imeonekana si yeye tu ambae alipandisha…
Mbunifu Bijoux Na Collection Yake Mpya “RAFIKI” Katika Mercedes-BenzAfrican Fashion Festival Ghana
Mbunifu kutoka Tanzania tunaemjua kwa jina la Bijoux Trend ameonyesha collection yake mpya katika runway ya Mercedes-BenzAfrican Fashion Festival inayo fanyika Nchini Ghana, Bijoux ni moja ya wabunifu wazuri kabisa wa kike kutoka Tanzania, moja ya kitu ambacho tunakipenda kutoka kwake ni jinsi ambavyo anatumia batiki…
Virgil Abloh Alivyo Debut Collection Yake Ya Kwanza Kama Artistic Director Wa Louis Vuitton’s Menswear Collections
Mbunifu kutoka Ghana Argil Abloh mwezi wa tatu mwaka alichaguliwa kuwaArtistic Director Wa Louis Vuitton’s Menswear Collections, Argil ambae alipata nafasi hii baada ya aliyekuwa katika nafasi hio kuondoka kwenda kufanya kazi katika fashion house nyingine, Argil hakuwahi kufanya kazi katika fashion house kubwa yoyote na…
Wiz Kid Ayo Katika Runway Ya Dolce Gabanna Akiwa Na Naomi Campbell
Mwanamuziki wa kimataifa anaetokea Nigeria Wiz Kid Ayo ametembea katika Runway ya mbunifu mkubwa Dolce And Gabanna, Wiz Kid ambae alionekana mara kadhaa akiwa na mwanamitindo Naomi Campbell kabla ya kutembea nae pamoja katika runway hii. Wiz Kid Ayo amekuwa msanii wa kwanza kutoka bara…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…