Muongozo Wa Namna Ya Kumatch Viatu Pamoja Na Mavazi Yako
Njia rahisi kabisa ambayo watu wengi huitumia katika mionekano yao ni ku-match mavazi yao na kitu kimoja wapo walichokivaa mfano: kumatch mavazi na pochi au viatu, unaweza kuona itakuwa too much lakini ni njia nzuri ya kufanya muonekano wako uonekane coordinated Leo tunakupa muongozo wa…
Bonang Matheba Na Marjorie Harvey Wakiwa Wamevaa YSL Iris 105 Sandal Yenye Thamani Ya 1,478,007
Ni Jumanne nyingine tena ambayo kwetu tunaaita Shoes-day kama kawaida siku hii huwa tunaongelea viatu, nani kavaa viatu gani na thamani yake ipoje leo tuna mwanamama Morjorie Harvey ambae ni mke wa mchekeshaji kutoka Marekani Steve Harvey, na Tv & radio host kutoka South Africa…
Vanessa Mdee, Irene Uwoya & Victoria Kimani In LV Ankle Boots
Hello Afromates ni jumanne nyingine tena ambayo huwa tunawaletea habari kuhusu viatu, iwe nani amevevivaa, bei yake au kwanini you should own that pair of shoes, Jumanne ya leo tunawaletea viatu vya Louis Vuitton ambavyo tumeona watu maarufu mbalimbali kutoka Tanzania na Kenya wakivivaa. Hizi…
Toke Makinwa Amewekeza M 3,153,423/- Katika Prada Flame Heels
Katika fashionista’s kumi kutoka Africa basi huwezi kuacha kutaja jina la Toke Makinwa, yeye ni media personality kutoka Nigeria ambae anaipeperusha bendera ya Nchi hio vyema kabisa katika mitindo. Toke ni moja ya wale fashionista’s ambao they usual don’t do fake zone. Ni moja kati…
Jifunze Namna Ya Kutembea Ukiwa Umevaa Viatu Virefu
Afro mates kutembea ukiwa umevalia viatu virefu nacho ni kipaji au tunaweza kusema its an art, ambayo kila mtu anaweza endapo tu atajifunza. Kusema ni kipaji sio kwamba kuna watu ambao wamezaliwa nacho moja kwa moja wanajua how to walk in heels, wanachukua muda kujifunza…
Kwanini Hupaswi Kukosa Kuwa Na Viatu Aina Ya Boot Na Jinsi Ya Kuvistyle Katika Hali Ya Hewa Ya Joto
Katika aina ya viatu tisa ambavyo hupaswi kukosa kuwa navyo kimoja wapo ni viatu aina ya boots, ni muhimu sana kuwa navyo hasa katika majira ya mvua na baridi, lakini hivi viatu sio tu kwa ajili ya mvua na baridi vinaweza kuvaliwa hata msimu wa…
Kanye West Amzawadia Rais Yoweri Museveni Viatu Vya Yeezy Vyenye Thamani Ya Sh.503,734
Rapper Kanye West yupo Nchini Uganda kwa matembezi na kukamilisha Album yake, Kanye alifika Nchini Uganda akiwa pamoja na mkewe, Kim Kardashian na watoto wao. Jana Kanye alipata nafasi ya kumtembelea Rais wa Nchini hio katika Ikulu yake Nchini humo waliongea na kubadilishana zawadi, ambapo…
Jada Dubai Wanakuletea Kiatu Ghali Zaidi Chenye Thamani Ya 38,841,600,000/-
Cardi B kwenye wimbo wake wa bodak yellow alisema, these expensive, these red bottoms, these bloody shoes well seem like kampuni ya Jada dubai wao wanakwambia these expensive, these gold pumps, these gold shoes. Kampuni hii imetengeneza viatu hivi kwa kutumia ngozi, hariri, dhahabu na…
Aina Tisa Za Viatu Hupaswi Kukosa Kuwa Navyo
Well unaweza kuwa na viatu vingi kwenye kabati lako kiasi ambacho una sahau vingine ni vya nini na wakati mwingine unakuta vimekaa tu kabatini wala huvivai unajiuliza ni kwanini umevinunua? kama ilivyo kwenye mavazi kwenye viatu pia kuna vile vya muhimu ambavyo hupaswi kukosa kuwa…
Balenciaga Waleta Yeboyebo Ndefu
Wakati tukifikiri tumesha yaona yote kutoka kwa wabunifu Balenciaga wao wana tuambia the night is still young, bado kuna mengi ambayo yanakuja na yanafurahisha na baada ya kuleta zile ugly daddy shoes na zile yeboyebo za kuvukia mto sasa wameleta yeboyebo zenye kisigino kirefu, Spotted…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…