Jada Dubai Wanakuletea Kiatu Ghali Zaidi Chenye Thamani Ya 38,841,600,000/-
Cardi B kwenye wimbo wake wa bodak yellow alisema, these expensive, these red bottoms, these bloody shoes well seem like kampuni ya Jada dubai wao wanakwambia these expensive, these gold pumps, these gold shoes. Kampuni hii imetengeneza viatu hivi kwa kutumia ngozi, hariri, dhahabu na…
Balenciaga Waleta Yeboyebo Ndefu
Wakati tukifikiri tumesha yaona yote kutoka kwa wabunifu Balenciaga wao wana tuambia the night is still young, bado kuna mengi ambayo yanakuja na yanafurahisha na baada ya kuleta zile ugly daddy shoes na zile yeboyebo za kuvukia mto sasa wameleta yeboyebo zenye kisigino kirefu, Spotted…
White Sneakers Zinavyo Trend Kwa Sasa
Kitu kimoja kuhusu trends ni kwamba zinajirudia, the white sneakers zilipotea kuna kipindi lakini zimerudi tena kwa kasi ya 4g, kila fashionista, watu maarufu na watu wa kawaida wameonekana kuvutiwa na trend hii, we are loving this new edition ya jinsi zinavyokuwa styled namna tofauti…
Spotted Rayvany Na Billnass Wakiwa Wamevaa Balenciaga Ugly Sneakers
Ugly shoes zimekuwa ziki-trend kwa muda sasa, watu maarufu wengi wameonekana kupendezwa nazo na kuzivaa from the Kardashian’s, The Hadid’s, Jaden Smith na wengine wengi wengi wamevaa viatu hivi kwa Africa tuliwaona watu maarufu kama Toke Makinwa akiwa amevivaa The Ugly Sneakers Zinavyo Trend Kwa…
Fashionista Lavidoz Ametumia Sh 774,520 Kununua Hivi Viatu Vya MCM
Well let’s say Lavidoz anakuwa shoe goals to us, week iliyopita tuliona jinsi alivyo style her Christian Louboutin White Pumps zenye thamani ya Shilingi 1,650,390/- za ki-Tanzania, 2 Times Fashionista Lavidoz Styled Her 1,650,390/- Christian Louboutin White Pumps Week hii tumemuona Lavidoz akiwa amevaa hizi sneakers …
White Pumps Are The Classic Pair Of Shoes To Own Right Now
Kama katika tembea tembea zako katika mitandao ya kijamii au katika mazingira yako hujakutana na mtu amevaa white pumps let us ask you ” Girl who are you following”?, White Pumps zimekuwa zikitrend kwa muda sasa na tunaweza kusema ni moja ya trend ambayo hatuoni…
Wizkid Ayo Rocked $1,200 Chanel Sneakers From Spring-Summer 2018 Collection
Wakati sisi wengine tukiwa bado hata hatujaweza kupata mkononi collection ya 2017 ya Chanel, Mwanamuziki kutoka Nigeria yeye kashajipatia sneakers zake za current collection kutoka kwa brand ya Chanel, Viatu hivi vilikuwa katika collection ya spring – summer 2018, ni sneakers ambazo zinarangi nyeupe na…
3 Reasons You Should Add Clear PVC Shoes On Your Shoe Rack
Moja ya trend kubwa sasa hivi ni Clear See Through Items, iwe coat, handbags, shoes etc, lakini ambacho ni kikubwa zaidi ni viatu. Watu wengi wameonekana kuvalia hivi viatu ambavyo muundo wake ni plastic vinaonyesha mguu tofauti na viatu ambavyo tumezoea kama ni gozi au…
2 Times Fashionista Lavidoz Styled Her 1,650,390/- Christian Louboutin White Pumps
Kila mwanamke ana hitaji some good pair of shoes, na wanawake wengi wana mapenzi makubwa katika viatu kuna msemo unao sema ” Give a woman te right shoes and she can conquer the world”, Moja kati ya wanawake ambao wanapenda viatu sana ni Lavidoz tumesha angalia interviews…
Stylist Joujou Alivyo Style Grandma Shoes
Grandma shoes/heels ni vile viatu ambavyo mara nyingi vinavaliwa na ma-bibi, ni zile heels ambazo kisigino chake kipana kidogo na sio kirefu tunadhani ndio maana wabibi wanapenda kuvaa maana vipo comfortable, well tumeona wabunifu mbalimbali wakidebut style hii ya viatu katika collection zao, wabunifu hao…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…