Mohamed Dewji Roking His Louis Vuitton Monte Carlo Moccassin
Japo matajiri wengi huwa wana-practise quite luxury yaani kuwa na vitu vya bei lakini visivyokuwa na logo kubwa, unaweza kukuta amevaa plain shirt lakini ni brand kubwa na inauzwa ghali lakini usinotice kwakuwa tu haina zile kelele za kusema hii ni brand fulani, lakini kuna…
Viatu Vya Kuvaa Endapo Una Miguu Mwembamba
Linapokuja swala la mitindo uwiano wa umbo la mwili huwa ni muhimu sana, wengi hatupo perfect kuna flaws za hapa na pale, leo tunaongea na wale wenye miguu mwembamba, je unawezaje kuweka uwiano kati ya miguu na miguu yako kwa kutafuta viatu vinavyo weza kuongeza…
How Celebrities Are Styling Knee/Thigh High Boots
Moja kati ya viatu ambavyo huwa vina upgrade muonekano ni boots, ukiachana na ku-upgrade muonekano boots huvaliwa mara chache sana hasa huku kwetu Africa kutokana na hali ya hewa yetu kidogo hairuhusu hivyo unapozivaa zinakupa utofauti na ku-stand out na wengine. Tumeona toka mwishoni mwa…
Aina 4 Za Flat Shoes Zitakazo Kufanya Uonekane Elegant
Kuna aina nyingi sana za viatu ambavyo ukivaa vitakufanya uonekane elegant. Kama unavyojua kuwa kiatu ndio kitu ambacho kinafunga muonekano wako, ukikosea kwenye kiatu utafanya muonekano wako wote kuharibika na ukipatia basi kinanyanyua muonekano wako kwa kiasi kikubwa. Kuna watu hawawezi kuvaa heels kutokana na…
Giuseppe Zanotti Watangaza Kurudisha Cruel Iconic Heels
Remember this ?? Hiki kiatu ilituletea shida na copy za kichina zikawa kibao mtaani . Waliofanikowa kuvaa OG wabaki na heshima yao maswali kibao lakini kiukweli kwa Tanzania hii labda wasio na majina ambao hawajulikani ila ma star wetu wengi walitred kwa kuvaa copy za…
Clogs Kutoka Kwa Balenciaga X Crocs Zinavyo Trend Kwasasa
Kama ulikuwa unamawazo kwamba hii trend ya rlocs itaisha anytime soon well tunakushauri chukua kiti ukae kwa maana inaonekana brand zimeamua kuzirudisha kwa kasi ya radi. Balenciaga na Crocs waliungana na kutoa baadhi ya viatu ambapo mojawapo ni hizi clogs na zinaonekana kuvutia watu maarufu…
Vercase Medusa Aevitas Platform Pumps Zinavyo Trend Kwasasa
Shoes brand’s zimekuwa ziki-work hard than the devils, kutoka kwa amina muaddi clear heels, zikaja Bottega Veneta Wrap-tie Mesh pumps sasa hivi ni zamu ya Vercase na hizi Medusa Aevitas Pumps. Viatu hivi vinauzwa Usd 1,875/- sawa na Tsh 4,318,125, Vitu hivi vya satin vina bold…
Gigy Money Made A Wrong Choice Of Shoe Mistake
Viatu hucheza nafasi kubwa sana katika mavazi yetu, inawezekana ni kitu cha mwisho kukifikiria lakini ni kitu ambacho pia ukikikosea hata kama umependeza vipi lazima chenyewe kitatia doa hasa kama umevaa mavazi ambayo kiatu hiko kinaonekana. Kwasasa trend kubwa kwenye viatu vya mchuhumio ni viatu…
Clogs Are The It Shoes For The Moment
Clogs zinzaonaka kuanza kuzipoteza crocs, tofauti kubwa ya clogs na crocs ni kwamba clogs zimekaa kipedezee kidogo zinapatikana in leather au suede materials na zinamunekano fulani unaweza kuvaa zikaonekana vizuri kuliko crocs ambazo zimekaa casual zaidi. Kwasasa zinaonekana ku-trend sana hasa kwa upande wa wanaume,…
The Ankle Wrist Bag Trend
Ukiachana na anklets, henna na tattoo kulikuwa hakuna namna nyingine ambayo unaweza ku-accessorize mguu wako lakini kwa sasa imeonekana unaweza kuvaa hizi ankle wrist bag na ukapendezesha mguu wako vizuri tu. Fashionista Siskikii Akituonyesha Namna Tofauti Za Kubeba Mini Bag Trend Hii trend tumeiona kwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…