Kenyan Fashionista’s And Bloggers At The The Launch Of Mango Store Kenya
Mango ni clothing design na manufacturing company,ambayo ilianzishwa mwaka 1995 na wakaka wawili ambao ni ndugu Isak Andic na Nahman Andic mwaka 2000 kampuni hii ilifungua first online store yao, lakini kadri muda unavyozidi kwenyda wanakua na sasa wanamaduka kadhaa Nchi mbalimbali na Juzi walifungua duka lao lingine Nchi…
Wema Sepetu Birthday Gala Red Carpet Review
Tumechukua muda kufanya hii review kwa maana ilibidi tupate muda wa ku-take in mambo yaliyo tokea, Wema Sepetu Birthday Gala pamoja na Movie Premier huku theme ya siku hii ilikuwa Make A Statement kwenye swala zima la mavazi, Tips Za Mavazi Katika Wema Sepetu Birthday…
Mionekano Ya Watu Maarufu Kutoka Week Iliyopita
Ni week nyingine tena tumeanza tukiwa tumetoka mapumzikoni, oh well oh well kama kawaida huwa tuna report yetu ya kila mwisho wa week ya mtu maarufu gani alivaa nini na je alipendeza au lah? Na hii haifanyiki kujifuraisha au kukosoa watu hapana nii ni ku acknowledge wale…
Nani Kadamshi Na Nani Katindinganya Week Hii
Tumeona mionekano ya watu maarufu mbalimbali ambao kuna wale walio tupa the wow look tukaona hawa wanafaa kuongelewa, kuna wale ambao walikuwa vuguvugu hawa mara nyingi tuna pass by, na kuna wale ambao walitupa the what going on look hawa nao huwa tunaona wanafaa kuongelewa, Kama…
Mionekano Ya Watu Maarufu Week Hii
Tumemaliza week na tunaanza week nyingine kama kawaida tunakuletea Weekly fashion highlights ya msanii gani maarufu kavaa nini na kama amependeza au lah katika macho yetu, Week hii tunao Miss Tanzania 2016/2018 – Diana Flave Msanii Wa Bongo Flava – Diamond Platnumz Producer – Nahreel…
Juma Jux Birthday Party Fashion Review
Weekend ilikuwa na mengi lakini mojawapo ni kuwa na birthday ya msanii wa bongo flava Juma Jux, wasanii na watu maarufu mbalimbali walihudhuria na sisi jicho letu lilikuwa kwenye mavazi, wengi walijitahidi tunadhani theme ya birthday ilikuwa black kwa sababu wengi walionekana in black outfits…
Celebrities Who Slayed And Played This Week
As usual kila juma likiisha tunakuwa na lokoo ya waliopendeza na walio zingua katika mavazi week nzima, Romyjons Black And Gold Birthday Fashion Review And Weekly Fashion Highlights well tunakuletea leo nani alipendeza na nani kwetu tumeona ameenda kushoto Je wewe msanii wako yupo group lipi?…
Romyjons Black And Gold Birthday Fashion Review And Weekly Fashion Highlights
Week Iliyopita tuliona namna ambavyo watu maarufu walivyo attend katika premiere ya filamu ya nipe changu kutoka kwa muigizaji Duma na tuliona jinsi ambavyo bado hali ya watu maarufu wengi ilivyokuwa tete katika swala zima la mitindo Jaw Dropped Outfits Katika Red Carpet Ya Nipe…
Zari The Boss lady, Jacqueline Wolper & Irene Uwoya Airport Style Is Chic AF
Unaposikia safari kitu ambacho unafikiria kichwani ni casual outfit ambayo itakufanya uwe comfortable wakati unasafiri, wengi hatupendi kuwa too much safarini like am on the bus or plane why should i be extra? lakini imeonekana sio wote ambao hawana mentality hii wengine wao wanaslay popote…
Slayed Or Played Highlights Kutoka Week Iliyopita
Tumeanza week nyingine tena, week iliyopita tumeona mambo mengi mengi ya kuhuzunisha na mengine ambayo yalitufurahisha kutoka hapa kwetu lakini pia kutoka Nchi za wenzetu tuanze na yaliyo tufurahisha Rihanna as a bride maid Week iliyopita mwanamuziki Rihanna ambae pia ni fashion icon alisimamia harusi…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…