Slayed Or Played Highlights Kutoka Week Iliyopita
Tumeanza week nyingine tena, week iliyopita tumeona mambo mengi mengi ya kuhuzunisha na mengine ambayo yalitufurahisha kutoka hapa kwetu lakini pia kutoka Nchi za wenzetu tuanze na yaliyo tufurahisha Rihanna as a bride maid Week iliyopita mwanamuziki Rihanna ambae pia ni fashion icon alisimamia harusi…
Slayed Or Played Weekly Highlights
Jumatatu nyingine tena ambayo tunakuletea segment ya nani alipendeza na nani aliharibu kuliko wote week nzima katika watu maarufu, well tuseme tu week ilikuwa nzuri kabisa wengi walipendeza japo kama kawaida katika msafara wa mamba kenge hawakosagi. Basi tuone nani alipendeza week hii Mwanamuziki Vanessa…
Our Slayed or Played Report Of This Week
Tumeanza week nyingine tena ikiwa tunamalizia mwezi wa 7, well mwaka unaishia hivyo na inaonekana tunaumaliza vizuri, week hii imeisha vizuri almost kila mtu alipendeza kulingana na uwezo wake. Hizi ndizo tulizoziona tukazipenda week hii hamna alie haribu they actual surprised us Makeup Artist Monica…
Nani Amevaa Nini Katika 40 Ya Mtoto Wa Zamaradi
Jana ilikuwa 40 ya mtoto wa Zamaradi aitwae Salah, huyu ni mtoto wa tatu wa mtangazaji huyu na 40 yake ilionyeshwa live kupitia television ya wasafi tv. Theme ya event hii ilikuwa Nigerian Wear tunaweza kusema watu wametendea haki theme hii na pia tumepata kutambua…
Kajala Masanja Wore 3 Dresses On Her Birthday Photo shoot And We Are Here To Judge
Muigizaji Kajala Masanja juzi jumamosi ameongeza mwaka mwingine wa kuwepo Duniani, well hatujui ametimiza miaka mingapi all we know ni kwamba ame sheherekea kumbukumbu ya tarehe ya kuzaliwa kwake. Kama ambavyo imezoeleka kwa watu maarufu wengi kufanya photo shoot kwa ajili ya birthday’s zao na…
Our Favorite And Worst Outfit Of The Week
Inapofika jumatatu huwa tunafurahi na tupo tayari kukupa updates za nani alipendeza na nani alizogoa week hio, well we have to say last week had looks kila mtu alijitahidi kulingana na uwezo wake kupendeza katika nafasi yake lakini hakukosekanagi wale ambao nao hawajielewi let’s see…
Diamond Platnumz Kuvaa Kikuku Je Ni Sawa?
Kama kuna kitu ambacho huwa kina make headlines katika jamii ni kwa mwanaume kuvaa kitu ambacho kinaaminika kina paswa kuvaliwa na mwanamke tu, hii hufanya watu kumdharau na kushusha heshima yake kama mwanaume. Weekend iliyopita mwanamuziki Diamond Platnumz ame make headlines baada ya kuvaa kikuku…
Kylie Jenner Arudi Katika Lips Zake Za Kawaida
Week imekatika na tumerudi makazini lakini kama kawaida huwa tunakuletea slayed or played za week zile habari kubwa kabisa za mitindo na urembo zilizo tokea weekend na week nzima kwa ujumla, oh well oh well we have to admit we didn’t see this coming Kylie…
Weekly Fashion Updates Kutoka Kwa Vanessa Mdee, Nandy Na Wengine
Tunakuwa excited week ikianza na nyingine kuisha hii ni kutokana na kutaka kujua week hii mpya inatuletea nini na iliyoisha ilikuwaje, Leo tunakuletea weekly updates za nani alislay na nani alikuwa nje ya slaying zone kwa week iliyomalizika jana. Stylist Rio Paul amemaliza week yake…
Makeup Looks Of The Week Kutoka Kwa Maua Sama, Shilole Na Irene Uwoya
Ni jumatatu nyingine tenaย week iliyoisha kulikuwa na event nyingi tofauti tofauti Nje na ndani ya Nchi. Lakini kunawale ambao wao hupenda tu kupendeza siku hizi tunasema “we do it for the gram” . Week hii tumewaona watu maarufu watatu ambao wao wame serve some major…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda seโฆ https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…