Behind The Brand: Evelyn Rugemalira For Eve Collections
Wengi tunamjua kama Eve Collections lakini jina lake asilia ni Evelyn Rugemalira, Eve ameanza kufanya ubunifu muda mrefu na ameweza ku-keep status yake mpaka sasa, Eve kwasasa ana miaka 50+ na bado ana slay kwenye mavazi, leo tunamleta kwenu kama muse wetu endapo una miaka…
Kyamirwa Talks About His Original Design Dress
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa UfupiKyamirwa: In a nutshell, a born and raised Tanzanian Fashion Designer. Craft experience in sewing over 10 years. Owner and Creative Director of a fashion company, Kyamirwa, mainly focused on exquisite and detail-attentive bridal and evening dresses AFS: Hii Ni Original…
Escapade Collection By Martin Kadinda
Mbunifu Martin Kadinda ameachia collection yake iitwayo Escapade huko Mawemawe Manyara, tumepata muda wa kuongea na kufahamu machache kuhusu collection hii, AFS: The escapade collection-unaweza tuelezea inspiration behind it? Martin: Mostly my collection are inspired by the work of art, from fabric prints, nature and…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
A Tulle Moment From Tanzania Designers
Tumekuwa tukiona Wabunifu mbalimbali kutoka Nchi za wenzetu wakiwa wanabuni haya mavazi yaliyopewa jina la Tulle, kwetu hakukuwa na designs za aina hii nyingi. Mara nyingi tulikuwa tukiziona kwa mbunifu Jacqueline Wolper lakini week hii tumeona wabunifu wengine wawili wakitoa mavazi ya aina hii. Ambao…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…