Tems Vs Fahvanny Who Rocked The Outfit Better
Kama kuna kitu wote tunaweza kukubaliana nacho ni kwamba the African Girls are making waves on the fashion industry, Fahyma (fahvanny) na Tems ni moja kati ya watu maarufu kutoka Bara hili wenye mapenzi na fashion. Mwishoni mwa mwaka jana tulimuona mwanamuziki Tems akiwa amevalia…
Looks From Met Gala 2023
The event ambayo huwa inasubiriwa sana kila mwaka ni Met Gala, hii event huwa inaitwa “fashion’s biggest night out” watu maarufu huwa wana dress kutokana na theme za event hio na mwaka huu ilikuwa “Karl Lagerfeld: A Line of Beauty”na Dress code ni “In honor…
Maoni Ya Fahvanny Juu Ya Vazi La Tems Kukosolewa
Usiku wa kuamkia Jumatatu kulikuwa na Tuzo kubwa za Oscar, Tuzo ambazo zilihudhuriwa na watu maarufu mbalimbali walioalikwa, mwanamuziki kutoka Nigeria, Tems nae alihudhuria hafla hii akiwa amevalia vazi lake zuri lakini lilipata feedback mbaya kutokana na headpiece kuwaziba kuona waliokuwa nyuma yake. Well tumepokea…
Tems Akosolewa Na Vazi Lake Hili Katika Tuzo Za Oscars 2023
Mwanamuziki Tems kutoka Nigeria aliwakilisha Nchi yake pamoja na Africa kwaujumla katika Tuzo za Oscars 2023, Tems alikuwa nominated katika tuzo hizo kupitia wimbo alioufanya na mwanamuziki Rihanna “lift me up” ambao ulitumika katika movie ya Black Panther. Tems alihudhuria Tuzo hizo akiwa amevalia white…
Red Carpet Looks From The Oscars 2023
Tuzo za “The Oscars” ni Tuzo hutolewa kwa artistic na technical merit waliopo katika tasnia ya filamu, Watu maarufu mbalimbali ambao wapo kwenye Tasnia hii hualikwa na kuhudhuria hafla hii ya ugawaji Tuzo, well kwa mwaka huu imefanyika usiku wa kuamkia leo na tupo hapa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…