Throwing Back To The Worst Outfits We Saw On 2018
Ni Alhamisi ya mwisho ya mwaka 2018, mwaka huu ulikua mwaka ambao watu walipendeza sana lakini pia kulikuwa na wale wachache ambao waliharibu kweli kweli, hii mionekano ni ile ambayo tuliiona kutoka kwa watu maarufu mbalimbali iwe katika red carpets, street style, wakiwa kazini na hata…
Pata Kumjua Stylist Rosemary Kokuhilwa
Rosemary Kokuhilwa ambae kwa sasa ana yake yapo jijini New York ni moja kati ya stylist wakubwa kutoka Tanzania, Rosemary si tu stylist bali alishawahi kuwa fashion blogger wa fashionjunkii.com, Co – Funder wa Global Fashion Newyork, pia alishawahi kuwa model lakini pia ni makeup…
The Best And Worse Red Carpet Looks Of Faiza Ally Over The Years
Faiza Ally has been making waves lately, kila red carpet anayo attend anaonekana kuvutia anavaa anapendeza lakini pia anaenda na theme, lakini tunaweza kusema Faiza had a long way to go hadi kufikia hapa. She started this journey from the bottom kwa kweli kipindi cha…
Flaviana Matata, Nancy Sumari Na Jacqueline Mengi Wedding Dresses
Leo katika throwback tuomeona tukuletee haya magauni ya harusi ambayo yalivaliwa na hawa fashion divas kutoka Tanzania, well hatudhani kama kuna ambae hawajui hawa divas ambao walifanya vizuri katika nyakati zao, lakini pia ambao wanaendea kufanya vizuri mpaka sasa. Kwanini tumeamua kuweka magauni yao harusi?…
TOFAUTI YA MBUNIFU,STYLIST NA FUNDI CHEREHANI
Aug 22, 2016 Tuliandika hili andiko kuhusu wabunifu, washonaji na stylist nini tofauti zao na jinsi wanavyo fanyakazi zao, karibia miaka miwili imepita tumejaribu kutathimini je kuna maendele yoyote yamefanyaka katika hili swala? stylist wanafanya kazi zao vyema kabisa lakini upande wa wabunifu bado tunachechemea, well…
BAIBUI VAZI LA STARA
Kila kunapokucha mambo yanazidi kubaadilika, teknolojia inazidi kukua , wigo wa Sanaa ya mitindo unazidi nchini Tanzania na ulimwenguni kote kwani hakuna anaetaka kubaki nyuma katika ulimwengu wa mitindo . Wabunifu nao wanazidi kushika hatamu kwa kubuni vitu mbalimbali ilimradi tu kuwafanya watu kuwa na…
Red Carpet Ya Tuzo Za Watu 2015
Hizi tuzo ndio ulikua mwaka wake wa mwisho kufanyika hatuja zisikia tena, but all we can say hii red carpet ya hizi tuzo ilikuwa ni moja kati ya red carpet bora ambazo tunazikumbuka, kuna watu walio haribu lakini kwa wale waliopendeza walipendeza haswa. Wengi walipania,…
Reviewing Mr Blue’s Video – Mapozi
Ikiwa tunaona kwa sasa wanamuziki wana jitahidi kufanya video’s nzuri za miziki yao lakini pia kujaribu kuvaa vizuri na kushirikisha stylist, tumeona video ya Mimi Mars – Sitamani ilivyo kuwa nzuri well dressed na ipo clear, tumeona kwanini tusikumbuke zile za zamani, leo katika throw…
Genevieve Nnaji Red Carpet Evolution
Genevieve Nnaji sio tu ni muigizaji mzuri lakini pia ni moja ya stylish actress kutoka Nigeria, kitu kimoja tunapenda kutoka kwake ni kwamba she is unpredictable, huwezi jua leo atavaa nini her styles & looks changes every day, kuanzia kwenye red carpet, harusini na hata…
Miss Tanzania 2007 Richa Adhia Akitukumbusha Enzi Zake
Ukiongelea ma Miss ambao walitumikia muda wao na kupotea basi huwezi kuacha kumtaja Richa Adhia, Richa alishinda miss Tanzania 2007 na kwenda kushiriki katika Miss World China Ukiachana na kuwa model na event organizer Richa alisha wahi kujaribu kuigiza na ameigiza katika hizi movie mbili 2009-Full…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…