Looks From Real Housewives Of Lagos Season 2 Premier
It was all about glamour & glitters at the Real House Of Lagos Season Premier, ikiwa theme ya vazi siku hii ilikua Eko Royalty tulionyeshwa namna gani kabila hili kutoka Nigeria nitajiri. Wengi waliohudhuria walivaa kama Royals zilikuwa glitter, extra vaganza head pieces, accessories za…
How Stars Showed Up At Netflix Nigeria’s Lights, Camera Naija
Nigerian stars wameshow upna ku’show out katika event ya Netflix Nigeria’s Lights, Camera…Naija, shughuli hiiilikuwa kwaajili ya kusheherekea Nigeria’s movie industry stars, theme ya siku hii ilikuwa Flamboyantly and Glamorously Nigerian”, Toke Makinwa Dress – @lanredasilvaajayi, Head piece – @urezkulture, Styled – @hfstylebookMake up – @tamars_beauty, Hair – @hairbybukks_, 📸…
Looks Were Served At Tiwa Savage’s Father’s Burial
Kuna aina mbalimbali za utamaduni na kwa wenzetu Nigeria, wana utamaduni tofauti katika misiba kwetu sisi misiba huzuni lakini kwao ni sherehe kubwa tu. Mwanamuziki Tiwa Savage amemzika baba yake jana kwa sherehe kubwa na watu maarufu mbalimbali walihudhuria, well as we all know Nigerian’s…
Toke Makinwa, Ini Edo & Others Showed Out As Wedding Guests
Week iliyopita Nigeria ilikuwa na shamra shamra ya harusi kati ya mfanyabiashara Adebola Williams na mpenzi wake Kenny D. Harusi hii ilihudhuriwa na watu maarufu mbalimbali kutoka Nchini Nigeria kama Toke Makinwa, Ini Edo, Ini Dima-Okojie & Omolata Jalade. Tumeona tukuletee uone namna walivyovaa labda…
Beyonce Vs Toke Makinwa Icy Park Outfit
At this moment we can all agree Toke Makinwa doesn’t play when it comes to her wardrobe. Ukiangalia page yake utakutana na luxury brand shoes, handbags na mavazi. Watu ambao anakuwa compared nao kwa sasa ni kina Beyonce na Ciara. Ciara & Toke Makinwa Rocking…
Ciara & Toke Makinwa Rocking Prada Nylon Monolith Ankle Boots
Tuesday shoesday kwa sasa trend kubwa inaonekana katika upande wa viatu ni boots, ambapo watu maarufu mbalimbali wameonekana wakivalia viatu hivi. Prada Nylon Monalith ankle boots zimeonekana kuvutia wengi kutokana na utofauti wake wa kuwa na kipochi. Ikiwa mwaka jana tuliwaona watu maarufu kama Kylie…
What Celebrities Wore On Valentines Day
February 14 dunia husheherekea siku ya wapendanao, ambapo wengi hupokea na kutoa zawadi lakini pia kutoka kwenda kwenye matembezi na kuvalia vyema. Watu maarufu mbalimbali huchukua muda wao kupiga picha na kutuonyesha nini wamevaa kwenye siku hio, na hawa ni baadhi ya ambao tumewaona. fahyma…
How To Look Chic Wearing Dad Sneakers Courtesy Of Toke Makinwa
Dad / Ugly sneakers zili-trend sana mwaka jana 2020, watu maarufu wengi walionekana kuzivalia lakini pia hata wasio maarufu ambao walipenda mtindo huu wa viatu walivinunua. Kama kawaida ya trend huwa inakuja na kuondoka kwa sasa hazionekani sana, lakini kama unavyo kabatini haimaanishi usivivae kwa…
Jacqueline Mengi, Elizabeth Michael And Toke Makinwa In Organza style dress
Its Furahi day na kama kawaida huwa tuna Friday Fashion Battle Field. Leo tupo na Mwanamitindo Jacqueline Mengi, Muigizaji Elizabeth Michael Na Radio Personality kutoka Nigeria Toke Makinwa wakiwa wamevalia hii Organza style dress. Kwa wale mnaojiuliza organza ni nini hii ni combination ya fabrics…
Mshono Wa Kitenge Unao-trend
Kitu kimoja kuhusu kitenge ni huwa hakipitwi na wakati kama ambavyo zilivyo fabric nyingine kama polka dot, stripes kitenge kipo toka enzi na enzi na kinashonwa kutokana na era iliyopo. Leo tunawaangalia watu maarufu mbalimbali ambao wao wametuonyesha namna ya kuvaa kitenge kwa mshono huu…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…