Tanzania Celebrities Rocking The Big Afro Hairstyle
Sote tunaweza kukubaliana kwamba ukiachana na afro hair style kuwa ni moja kati ya hair styles kongwe lakini ni hairstyle ambayo huwa haitoki kwenye trend, ukiachana na kwamba ni hairstyle ambayo ni rahisi kuweka lakini pia ni moja kati ya hairstyle ambayo haimkatai mtu, inaendana…
3 Hairstyle’s That Makes You Look Clean & Expensive
Unataka ku-upgrade muonekano wako? Basi kuwa na hair style nzuri na je unataka muonekano wako mzuri uonekane cheap? Basi jaribu kuwa na hair style mbaya. Nywele ni kitu muhimu sana katika muonekano wako kina nafasi kubwa ya kuuharibu na kuufanya uonekane mzuri. Leo tunakupa aina…
Ombre Color Wig/Weaving Trend
Mpaka sasa hii ni moja ya trend kuiona mwaka huu wa 2023, mwaka umeanza na styles nyingi lakini ambayo tumeona ina jirudia hapa Nchini kwetu na Nje ya Nchi nii style ya ombre wig / weaving hair style. Ambapo style hii ni kwamba nywele inakuwa…
Ginger Orange Curly Hairstyle Inavyo Trend Kwasasa
Kuna mitindo mbalimbali ya nywele ina trend kwasasa, lakini ambao tumeuona unashika kasi ni hii wig ya rangi ya ginger orange. Tumewashuhudia watu maarufu mbalimbali wakiwekwa style hii hatujajua imetokea bahati mbaya, wanaigiana au kuna brand inatoa nywele hizi kwaajili ya kutangaziwa. Anyways tumewaona watu…
Pixie Cut Hair Style Is Having A Moment
Pixie cut hair style ni moja ya style ya nywele ambayo ni timeless na ni rahisi kui-maintain, style hii ya nywele inaweza kuwekwa na mwenye umri yoyote na ni moja ya style ambayo inakufanya u-standout. Well kwasasa hapa Nchini kwetu tumeona inaanza kushika trend ambapo…
Exaggerated Baby Hair Style Trend
Baby hair ni zile nywele fupi, laini zilizopo karibu na edges za nywele zako, zinaweza kuwa ndefu, fupi na wakati mwingine curly inategemea na aina na texture ya nywele zako, mara nyingi hizi huonekana sana wakati tukiwa watoto ( ndio maana zikaitwa baby hair) lakini…
Finally Vanessa Mdee Ditched The Baby Hair Weaving
New Mom in Town Vanessa Mdee ame-upgrade nywele yake & we are happy about it, Vanessa amekuwa akiweka nywele yake moja ambayo inamuhitaji kuweka baby hairs na by the look of it kama sio hair stylist wake basi yeye mwenyewe hakuwa anazipatia hii ikasababisha gumzo…
Afro Hair Style Trend
Afro hair style huwa inakuja kwenye trend na kupotea japo Afro ni nywele za ki-Africa lakini mara nyingi wengi wetu huwa tunapenda kuziweka dawa ziwe sleek au kutumia weavings na wigs za sleek hair. Kwa sasa tunaona Afro Hair Style inarudi na kuonekana kuanza ku-trend,…
Pearl Hair Accessory Trend
Pearl kwa kiswahili huitwa Lulu, hizi hutumika kwenye accessory kama hereni, mikufu, bangili, vibanio vya nywele n.k. Lakini miaka michache iliyopita tumekuwa tukiona vito hivi vikiwekwa kwenye mavazi mfano suruali, magauni, blouse n.k. Lakini maka hii ya karibuni zimeonekana kutumika kama urembo katika nywele, watu…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…