Hatua 8 Za Kufanya Ngozi Yako Ionekane Kijana Daima
Kuwa na ngozi yenye muonekano mzuri ni jambo la kujivunia kwa watu wa rika zote hapa duniani. Watu huwa wanatumia kiasi fulani cha kipato chao kwa ajili ya kutunza wa ngozi zao. Hivyo ni vyema ukawa na ufahamu sahihi wa jinsi gani ya kutunza ngozi…
Tofauti Ya Lightening Na Brightening Katika Vipodozi
Kuna mkanganyiko mkubwa juu ya vipodozi vya ngozi ambavyo vinadai kuang’aza na / au kung’arisha ngozi, mara nyingi ikisoma katika maelekezo ya vipodozi hivi unaweza kukuta vimeandikwa lightening ( Kung’aza) Au Brightening ( Kung’arisha) hapa wengi huwa tunaona ni kitu kimoja lakini kumbe ni vitu…
Skin Do & Don’ts
Kuna vitu vidogo sana lakini ukiacha kuvifanya na kuna ambavyo ukivifanya vinaweza kuleta impact kubwa katika ngozi yako. Vitu vya kufanya: Kunywa Maji Safisha ngozi yako ya uso mara mbili, hii namaanisha osha uso wako mara mbili kila ambapo unaosha uso. Exfoliate taratibu Zingatia lishe…
Steps To Glow Skin
Kupata ngozi nzuri yenye kuvutia si swala la siku moja, inahitaji uvumilivu na consistency. Utapokuwa na kupata matokeo kwa haraka unaweza usipate kabisa matokeo mazuri, utabadilisha products na pesa bila kupata matokeo, hizi ni steps chache za kupata glow skin: Maji Anza siku yako kwa…
Hatua 3 Rahisi Za Kung’arisha Uso
Sote tunapenda kuwa na ngozi nyororo yenye mvuto, lakini wengi wetu ni kitu gani sahihi cha kufanya ili kuweza kupata muonekano huo, leo BintUrembo amekuletea hatua tatu rahisi unazoweza kufanya ili kuweza kung’arisha uso wako 1. Tumia Facial Cleanser kusafisha uso wako. Ni nzuri zaidi…
Jinsi Ya Kuboresha Urembo Wako
Katika Jamii nyingi duniani, dhana ya urembo imekuwa na mitazamo tofauti kwa watu wengi. Kila mmoja anautafakari urembo kwa namna yake kulingana na malezi na tamaduni za mahali husika. Wako wanaoamini kuwa mrembo ni lazima awe na ngozi nyeupe, wengine hudhani kuwa ili kuonekana mrembo,…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…