Namna Ya Kutambulisha Kipodozi Kipya Cha Ngozi Katika Ngozi Yako
Inawezekana una skincare routine lakini unataka kuongezea kipodozi kingine au pia inawezekana ni mara ya kwanza kuwa na skincare routine je unaanzaje kutambulisha kipodozi hiko kipya katika ngozi yako? Katika kila kipodozi kuna ingredients ambazo zinaweza ku-react vyema au vibaya katika ngozi yako inabidi uwe…
Does Your Skin Break Out Before It Clears Up?
Umeshawahi kuanza kupaka kipodozi kisha ngozi yako ikaharibika zaidi ya ilivyokuwa mwanzo? Yes hii huwa inatokea na mara nyingi wengi wetu huwa tunachukulia hii kama dalili ya kipodozi kutokutupenda au ku-fail. Leo tunakuletea au kukufahamisha juu ya Skin Purging, Skin Purging hii ni pale unapoanza…
Vipodozi Ghali Vya Ngozi Haimaanishi Ufanisi Mzuri
Kwasasa kama kuna industry inayoingiza pesa ukiachana na chakula basi ni skincare, sio kwa wakaka sio kwa wadada wote tunapenda kuwa na mionekano mizuri ya ngozi zetu kila mmoja anatamani apate kipodozi ambacho kitafanya ngozi yake iwe nzuri kabisa. Kutokana na hili basi brand nyingi…
Je Upi Ni Muda Mzuri Wa Kutumia Vipodozi Vya Ngozi?
Umeshawahi kujiuliza kwanini cream ambayo wengine wengi wanaisifia lakini kwako haifanyi kazi? Umeshawahi kufikiria labda huitumii kwa muda unaotakiwa? ( Muda sahihi). Kujua ni bidhaa gani inafaa kutumia katika ngozi yako ni jambo moja ambalo wengi huwa tunalitilia maanani lakini huwa tunasahau kuuliza ni muda…
Beauty Brands Tanzania Tuwe Realistic
Mwaka huu tumeona maendeleo mengi katika ukuaji wa makampuni hasa ya vipodozi Nchini kwetu, tumeona watu mbalimbali wakianzisha kampuni zao za vipodozi na tunaweza kusema hii ni hatua kubwa mno. Lakini kuna jambo moja ambalo linatu-disappoint nalo ni kupaka makeup kwenye matangazo yao huku wakiwa…
Kwanini Upake Vipodozi Kwa Mpangilio Maalum
Inawezekana unavipodozi ambavyo vinafanyakazi vizuri tu lakini huoni matokeo mazuri katika ngozi yako, hii hutokana na sababu mbalimbali lakini sababu moja wapo ni kutokupaka vipodozi hivi kwa mpangilio mzuri. Kutokana na ushauri wa wataalamu “Inatakiwa uanze kupaka vipodozi ambavyo ni light weight ( vyepesi) ili…
Umuhimu Wa Kusoma Lebo Katika Vipodozi
Wengi wetu tunatumia vipodozi mbalimbali katika ngozi zetu, iwe kwa kuondoa kitu fulani au kukifanya kiwe bora zaidi. Imezoeleka kuwatunanunua vipodozi hivi kwa mazoea iwe kwa kuambiwa au kushauriwa na dakitari. Mara nyingi huwa tunasahau kusoma lebo na kuona hakuna umuhimu kwa sababu tu kipodozi…
Mambo Matatu (3) Ya Kuzingatia Ili Kupata Kipodozi Kinachoifaa Ngozi Yako
Kuchagua kipodozi sahihi ni jambo la muhimu katika swala zima la kutunza afya ya ngozi zetu. Kitu chochote tunachopaka kwenye ngozi ni muhimu zaidi ya vile tunavyo fikiri. Baadhi ya watu huchagua kipodozi kwa nia ya kutatua matatizo fulani ya ngozi zao, huku wengine huchagua…
Sababu 6 Kwanini Kipodozi Chako hakifanyi Kazi Ipasavyo
Umeshawahi kujiuliza kwanini kipodozi chako hakifanyi kazi ipasavyo? Na unatamani kuachana nacho na kutafuta kipodozi kingine? Well DON’T kuna sababu nyingi sana aambazo huchangia kipodozi kisifanye kazi yake vizuri. Leo tutaongelea sababu hizo. Kutokutumia Kipodozi Ambacho Kina-regimen za aina ya ngozi yako Hapa ndipo unakuja…
Pata Kujua Tofauti Ya Matatizo Ya Ngozi Kati Ya Wanaume Na Wanawake
So kuna hii meme vile imetrend sana na kwa vile tuko obsessed na skin care tuongelee hiyo imekaaje,meme hio inalinganisha mwanaume ambae anatumia taulo yake kufutia kila kitu na akiweka usoni haina shida ila kwa mwanamke ambae ana stick skin care routine yake bado chunusi…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…