Behind The Brand: Evelyn Rugemalira For Eve Collections
Wengi tunamjua kama Eve Collections lakini jina lake asilia ni Evelyn Rugemalira, Eve ameanza kufanya ubunifu muda mrefu na ameweza ku-keep status yake mpaka sasa, Eve kwasasa ana miaka 50+ na bado ana slay kwenye mavazi, leo tunamleta kwenu kama muse wetu endapo una miaka…
Behind The Brand: Just MK By Martin Kadinda
Leo nyuma ya brand tuko nae Martin Kadinda, huwezi kutaja Tasnia ya Mitindo na Ubunifu Tanzania na usimtaje Martin. Tunaweza kusema Martin amekuwa na Industry au Industry imekuwa na Martin, ameanza ubunifu akiwa mdogo na mpaka sasa huwezi acha kumtaja katika 10 bora ya wabunifu…
Behind The Brand: Designed By Shuu
Kwasasa ni mmoja kati ya wabunifu ambao wanafanya vyema katika upande wa kubuni mavazi ya harusi, Designed By Shuu sio jina geni masikioni mwa wengi, ameshawavalisha watu maarufu mbalimbali na mara nyingi kazi zake ni za kueleweka Shuu akiwa kama mbunifu wa mavazi ya harusi…
Behind The Brand: Bijoux Trendy
Don’t you love it umeenda dukani ukakuta muuzaji amependeza? Ni kama assurance kwamba anajua anacho kifanya. Yes leo kwenye behind the brand tuko na mbunifu na fashionista Bijoux moja kati ya wabunifu wanaofanya vyema & unproblematic Bijoux hajaanza jana au leo kuwa katika tasnia ya…
Behind The Brand: Mgece Cici
Inawezekana umeshalisikia hili jina kwa muda mrefu na hujui ni nani yupo nyuma yake, Mgece Cici ni moja kati ya wabunifu wakubwa sana Nchini lakini ni mbunifu ambae anapenda kuacha kazi yake ionge kuliko yeye kuonekana kwenye kazi yake. Ukiachana na kuwa mzuri kwenye kazi…
Kuna Tofauti Kubwa Kati Ya Kutengeneza Na Kuunda
Kupitia Account yake ya Instagram Mbunifu wa mwanamuzi Juma Jux, Mgombelwa Brand awataka wabunifu wenzie kujua tofauti ya kutengeneza na kuunda, mbunifu huyo ambae alipost video ya Jux akiwa amevalia vazi alilolibuni kwakutumia hereni na leather huku akiandika maneno haya Well Afromates tulishamuona Harmonize akiwa…
Kunauhitaji Wa Elimu Ya Biashara Kwa Wabunifu Na Wanamitindo Wa Tanzania
Hatudhani kama inabidi kilakitu kinahitaji kuongelewa kwa Tasnia ya urembo na mitindo Tanzania ndio tuamke na kuanza kuyafanyia kazi, ilikuwa kilio cha wabunifu na wanamitindo kwa wasanii kuwatumia katika kazi zao. Kilio kimesikika na sasa tunaona kwenye video music za Tanzania wanamuziki wanatumia mavazi ya…
Celebrities Are Living Fresh From The Runway Life
Hatujui kama tuiite trend au ni muamko kutoka kwa watu maarufu, kwa sasa tumeweza ku-spot watu maaruufu wakiwa wamevalia mavazi kutoka kwa wabunifu wa hapahapa Nchini tena yakiwa yametoka straight from the runway. Kwa hii trend/muamko sisi tunaufurahia kwa muda mrefu tumekuwa tukitamani wabunifu na…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…