Best Dressed Celebrities From Last Week
Week iliyopita kulikuwa na sherehe mbalimbali kuanzia sikukuu ya Eid, Birthday’s na harusi, watu maarufu walihudhuria shughuli mbalimbali na wengi wao walivaa kwa kupendeza. Leo tunakuletea wale ambao tuliona wamependeza na unaweza kuiga mshono kutoka kwao Tumemuona muigizaji Elizabeth Michael ambae alishehereka 28th Birthday yake…
Reception / Wedding Guest Dresses Inspiration From BobRisky
Anaitwa Okuneye Idris Olarenwaju lakini wengi tunamjua kama Bobrisky ni cross dresser kutoka Nigeria na moja kati ya watu maarufu wanao vaa vyema, leo tunakuletea reception / wedding guest dresses unazoweza kuchukua kutoka kwake Rangi alizo zitumia ni common colors ambazo hutumika katika harusi mara…
Reception / Wedding Guest Dresses Inspiration From Aunty Ezekiel
Aunty Ezekiel anakuja moto, hatujui kama ndio gym, diet au surgery imejipa ila kwasasa ana body fulani inaita na amekuwa aki-slay muonekano wake huu mpya. Aunty ameonekana kuwa sana sana ana slay kwenye maharusi na sehemu mbalimbali anazo alikwa well leo tunakuletea 4 looks kutoka…
3 Times Shuu & Darleen Served Some BFF’s Wedding Guest Looks
Kuna ule urafiki unafikia mpaka mnajiona mapacha, mnavaa sare hasa kwenye baadhi ya sherehe ambazo mnaalikwa pamoja, hii imeonekana kwa mwanamuziki Queen Darleen na rafiki yake Designed by Shuu ambao wao wanajiita Zena na Betina. Well Shuu na Darleen huwa wanavaa sare na wakati mwingine…
Elisha Red Label Tells The Story Behind Nandy’s Reception Dress
Tunaweza sema Nandy being a fashionista aliweza kutukosha moyo na her reception dress japo baadhi walikuwa na maoni kinzani juu ya kuonyesha her precious baby bump AFS: Tuanze the dress ambapo the baby bump iliweza onyeshwa, the idea ilitoka wapi, kwako, Nandy ama pamoja? Elisha:…
Namna Ya Kuslay Kama Bi Harusi Bila Ya Kufilisika
Unaolewa hivi karibuni na una stress za uvae nini bado hujapata pesa za ukumbi, vyakula,vinywaji etc. Well unaweza kupendeza ukiwa katika budget ambayo haiumizi sana. Jaribu Kutumia Wabunifu Wapya Ikiwa wabunifu ndio wanaanza bei zao huwa reasonable hataki faida kubwa yeye anachojali afanye kazi nzuri…
Reception / Wedding Guest Dresses Inspiration From Chioma Ikokwu
Anaitwa Chioma Ikokwu au Chiomagoodhair ni mfanyabiashara na wakili kutoka Nigeria lakini pia ni fashionista mzuri tu huwa hanaga kazi mbovu anajua anachofanya. Leo tunakuleta looks chache zilizotuvutia kutoka kwake ambazo na wewe unaweza kuiga iwe ni reception dress au wedding guest dress. well tuambie…
Pata Kumjua Designed By Shuu
AFS: Tukufahamu Kwa Ufupi? Shuu: naitwa designed by shuu AFS: Kwanini Uliamua Kufanya Wedding Dresses? Shuu: kwa sababu ni kitu ambacho napenda toka nikiwa mdogo kifupi napenda mitindo na urembo AFS: Huwa Unatoa Wapi Inspiration Zako? Shuu: Nikiangalia nilipotoa napata nguvu ya kupambana zaidi! Mimi…
Wedding Reception Dresses Ideas Kutoka Kwa Pearl Thusi
Pearl Thusi ni Muigizaji, Mwanamitindo na Mtangazaji kutoka South Africa, ni moja kati ya fashionista’s anaefuatiliwa zaidi Nchini humo na Nje ya Nchi. Kutokana na kazi zake Pearl Thusi amekuwa akipewa deals mbalimbali za kutangaza katika event kubwa mbalimbali na hapa sisi ndipo huwa haletagi…
Reviewing Dida Shaibu Wedding Dress
Mtangazaji kutoka Wasafi Bi. Dida Shaibu jana amefunga ndoa, ambapo alichagua kuvaa sheer high neck mermaid dress kutoka kwa designed by shuu. Kama ma-bibi harusi wengine, Dida alipendeza sana. Alimalizia muonekano wake na head gear na drop earrings. Tumependa namna alivyoonyesha skin without showing too…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…