3 Times Shuu & Darleen Served Some BFF’s Wedding Guest Looks
Kuna ule urafiki unafikia mpaka mnajiona mapacha, mnavaa sare hasa kwenye baadhi ya sherehe ambazo mnaalikwa pamoja, hii imeonekana kwa mwanamuziki Queen Darleen na rafiki yake Designed by Shuu ambao wao wanajiita Zena na Betina. Well Shuu na Darleen huwa wanavaa sare na wakati mwingine…
Reception / Wedding Guest Dresses Inspiration From Chioma Ikokwu
Anaitwa Chioma Ikokwu au Chiomagoodhair ni mfanyabiashara na wakili kutoka Nigeria lakini pia ni fashionista mzuri tu huwa hanaga kazi mbovu anajua anachofanya. Leo tunakuleta looks chache zilizotuvutia kutoka kwake ambazo na wewe unaweza kuiga iwe ni reception dress au wedding guest dress. well tuambie…
Flaviana Matata The Coolest Wedding Guest
Wakati kwasasa tunaendelea kushuhudia namna Wedding Guest wanavyo pambana kuvaa washindane na Bibi harusi it’s refreshing kuona kuna baadhi ya watu wakiwa wanawapa ma bibi harusi nafasi ya kushine. Week iliyopita tumemuona International Model, Flaviana Matata akiwa amehudhuria harusi huku akiwa amependeza bila kutumia nguvu…
Wedding Reception Dresses Ideas Kutoka Kwa Pearl Thusi
Pearl Thusi ni Muigizaji, Mwanamitindo na Mtangazaji kutoka South Africa, ni moja kati ya fashionista’s anaefuatiliwa zaidi Nchini humo na Nje ya Nchi. Kutokana na kazi zake Pearl Thusi amekuwa akipewa deals mbalimbali za kutangaza katika event kubwa mbalimbali na hapa sisi ndipo huwa haletagi…
Je Tunavuka Mipaka Kama Wedding Guest’s?
Waswahili husema “Mgema akisifiwa tembo hulitia maji”, tumekuwa na tabia ya kusifia wedding guest wanaopendeza na kuwa watofauti katika harusi za watu, tunadhani sifa hizi nyingi zimesababisha wengine kuzidisha kiwango na kupitiliza mwishoe kuharibu. Hivi karibuni kulikuwa na harusi ya hair stylist Aristotee ambapo baadhi…
Toke Makinwa, Ini Edo & Others Showed Out As Wedding Guests
Week iliyopita Nigeria ilikuwa na shamra shamra ya harusi kati ya mfanyabiashara Adebola Williams na mpenzi wake Kenny D. Harusi hii ilihudhuriwa na watu maarufu mbalimbali kutoka Nchini Nigeria kama Toke Makinwa, Ini Edo, Ini Dima-Okojie & Omolata Jalade. Tumeona tukuletee uone namna walivyovaa labda…
HOT TOPICS
May Be “May Be” They Will Listen To Flavy 😂, Some Of Them Have Full Makeup On Wanatangaza Product Ya Uso 🤔 https://t.co/1OysMjaJd8
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…