Namna 3 Za Kuipa T-shirt Yako Muonekano Mpya
Wewe ni mpenzi wa kuvaa t-shirt? Lakini huwa unavaa namna moja au mbili tu na inaanza kuwa boring? Tukisema namna moja au mbili tunamaanisha kuchomekea na kuchomolea t-shirt yako kwenye suruali au skirt uliyovaa? Leo tunakuletea namna 3 unazoweza ku-style tshirt yako ukapata muonekano mpya…
Namna 2 Za Kubadilisha Mavazi Ya Kazini Kuwa Weekend Outfits
Hakuna kitu huwa kinaleta stress kama ifike ijumaa unatakiwa kwenda kazini lakini baada ya muda wa ofisi kuisha unatakiwa kukutana na marafiki maana weekend inakuwa imeshaanza, hapa sasa huwezi kwenda na mavazi ya ofisini na ukifikiria kurudi nyumbani mbali na hizi foleni basi inabidi uchague…
Denim Affairs With Paula Majani
Denim ni vazi ambalo linaweza kuvalika mara nyingi na kwa namna nyingi upendavyo, unaweza kuvaa casual, date, ofisini na kwenye occasion mbalimbali, well ikiwa vazi hili lipo kwa miaka na miaka, wabunifu wamekuwa wakijaribu kuli-modify na kuleta mitindo ya namna tofauti tofauti. Leo tunakuletea Paula…
Weekend Outfit Inspiration From Ms Chicca Bwase
Ni Ijumaa nyingine tena, weekend inaanza na kama ambavyotunajua weekend ni kwa ajili ya mapumziko, shopping, mitoko ya hapa na pale na kumeet na ndugu na marafiki. Leo tunakuletea weekend outfit inspiration kutoka kwa fashionista Ms Chicca Bwase, Chicca ni plus size lady ambae anajua…
Laura Ikeji Showing Us How You To Repeat Outfit In Style
Inawezekana wewe ni mmoja wapo ambae umezoea kuvaa nguo fulani namna moja yaani kama ni suit basi utavaa suit na koti lake kwa namna hio mara nyingi mpaka watu wakuchoke au wewe mwenyewe ujishtukie. Kama una tatizo hili basi utakuwa unajikuta unalalamika huna nguo au…
4 Times Fashionista Ayanda Thabethe Showed Us How To Style Crop Top’s
Hali ya hewa inaruhusu kuvaa crop top’s ( sio barabarani though). Kwetu huu uzungu bado haujafika wa kutembea kitovu nje barabarani japo haimaanishi hatuwezi kuvaa sehemu nyingine kama club, beach, movie theaters au sehemu za kujinafasi ( again usivae hivi kama unapanda daladala au community…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…