Reviewing Looks From Drama Queens
Siku ya Jumapili iliyopita kulikuwa na sherehe ya moja ya member ya group inayojiita drama queen ( Irene Uwoya, Wema Sepetu, Kajala Masanja, Aunty Ezekiel, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael). Sherehe hii ilikuwa ya mtoto wa Irene Uwoya na wenzie walienda ku-show support, walichagua Nigerian…
Spotted Beauty Looks From Last Week
Iwe walikuwa kazini, kwenye mitoko na wapendwa wao au wamejipaka tu kwaajili yao wenyewe kwaajili ya nafsi zao, watu hawa maarufu walionekana kwenye mionekano ya kuvutia na makeup zao. Tumependa tulichokiona na efforts wanazotumia makeup artist kuwafanya waonekane warembo bila kupoteza ule urembo asilia wao….
Wema Sepetu Birthday Photoshoot Raised The Bar
Tupo a bit late kuongelea hii photoshoot lakini ni photoshoot ambayo ipo worthy kuiongelea, Wema Abraham Sepetu amesheherekea Bithday yake juzi, Mwaka huu hakukuwa na sherehe lakini imeonekana all the efforts ziliwekwa kwenye photoshoot. Well the photoshoot was just minimal na ni monochrome looks, lakini…
Celebrities Go Makeup Free & Letting Their Skin Breath
Ikiwa tumezoea kuona watu maarufu wa kike wakiwa all glammed & dolled up, lakini kamba ambavyo wao ni binadamu kama binadamu wengine huwa wanamuda wanataka kupumzisha ngozi zao. Inawezekana huwa wanatuonyesha upande wao wa makeup sana kwa sababu ya kazi zao kuwataka kuonekana hivyo mara…
Make Up Looks From Wema Sepetu, Anjella, Zuchu & Others
Kama kuna sekta tupo proud nayo kwa sasa ni sekta ya Makeup, makeup artist wanajituma sana kuhakikisha wateja wao wanaendana na makeup zao sio kama zamani mtu mweusi anapakwa makeup ya mtu mweupe. Well last week tumewaona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamepakwa makeup na makeup…
Celebrities Showed Us How To Look Chic In Denim
Watumaarufu wengi hupenda kuonekana kwenye mionekano ambayo ni ya tofauti kidogo, wengi wanapenda kuwa wa kwanza kuvaa mavazi ya aina fulani au kuonekana kwenye zile occasional looks. Lakini week iliyopita imekuwa tofauti kidogo tumewa-spot watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia denim looks ambazo hata mtu wa…
Reviewing Celebrities Outfits On Eid
Baada ya ndugu zetu waislam kumaliza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, huwa washerehekea Eid siku hii wengi huwa wanavaa mavazi mapya, kupika vyakula mbalimbali na kutoka na familia na marafiki. Tumeona watu maarufu mbalimbali ambao walishare mionekano yao katika sikukuu/holiday hii ambapo kwa wanawake…
Former Miss Tanzania For Beauty Legacy Gala Photoshoot
Walimbwende wa zamani kutoka Miss Tanzania wamefanya photoshoot ya Tamasha la Beauty Legacy Gala Tanzania 2020. Utakuwa unajiuliza Tamasha hilo linahusiana na nini “Miss Tanzania 2000, Mjasiriamali na Muasisi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation, Ms.Jaqueline Mengi ameanzisha tamasha la harambee la The Beauty Legacy Tanzania 2020…
Wema Sepetu Na Happiness Magese Wakituonyesha Namna Ya Ku-Slay In Pajama’s
Its Furahi day na inawezekana upo bored lakini unataka kuonekana well putted together, labda ume-alika marafiki zako nyumbani au hata unamtoko ambao ni casual na hujui cha kuvaa, Wema Sepetu na Happiness Magese wametuonyesha namna ambavyo unaweza kuvaa pajama na bado uka-slay. STREET STYLE: PAJAMA…
Beauty Looks Served From Last Week
New Day, New Week, Same Hustles.. Heri ya week mpya afromates na kama ilivyoada huwa tunaanza week kwa kuangalia week iliyopita kulikuwa na nini, nani amefanya vyema na nani ameharibu. Week hii tunaangalia mionekano ya nywele na makeup kutoka kwa watu maarufu mbalimbali akiwepo Hamisa…
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…