Je Wasanii Wetu Watahamia Kwenye Quite Luxury?
Dunia ya fashion ina badilika mara kwa mara, miaka michache nyuma kuvaa mavazi ya brand kubwa ambayo yana logo zao ilikuwa ni luxury hasa kama mavazi hayo ni original, lakini kwasasa wabunifu na wateja wao wameamua kuamia kwenye quite luxury. Quite Luxury ni nini? Ni…
How Celebrities Are Styling Knee/Thigh High Boots
Moja kati ya viatu ambavyo huwa vina upgrade muonekano ni boots, ukiachana na ku-upgrade muonekano boots huvaliwa mara chache sana hasa huku kwetu Africa kutokana na hali ya hewa yetu kidogo hairuhusu hivyo unapozivaa zinakupa utofauti na ku-stand out na wengine. Tumeona toka mwishoni mwa…
Cartoonish Shoes Are The New It
Kama mwaka jana tulisema tumechoka na viatu vya midoll basi tujue mwaka huu tunavyo ila hapa ni kwa design nyingine, seems like foot wear companies wameamua kutengeneza viatu vinavyo kuwa inspired na cartoons. Mwezi wa pili mwanzoni tuliona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia boots nyekundu,…
Clogs Kutoka Kwa Balenciaga X Crocs Zinavyo Trend Kwasasa
Kama ulikuwa unamawazo kwamba hii trend ya rlocs itaisha anytime soon well tunakushauri chukua kiti ukae kwa maana inaonekana brand zimeamua kuzirudisha kwa kasi ya radi. Balenciaga na Crocs waliungana na kutoa baadhi ya viatu ambapo mojawapo ni hizi clogs na zinaonekana kuvutia watu maarufu…
Zara Quilted Chain Strap Shoulder Bag Inavyotrend Kwasasa
Imekuwa muda mrefu toka tuwaletee vitu vinavyotrend Duniani kwasasa well we are back na kuanza tunaanza na hii bag kutoka katika kampuni ya mavazi ya Zara. Kama wewe ni mpenzi wa handbag na hujui bag ipi ipo kwenye trend basi leo tunakuletea hii kwa ajili…
Big Pendant Necklace’s Are The New Choker’s
Wenzetu huwa wanasema “Go Big Or Go Home”, inaonekana wasanii wetu wanalitilia mkazo hili kwasasa linapokuja swala zima la mikufu na vidani vyake. Tumeona wasanii mbalimbali kutoka Africa wakiwa wanavalia mikufu yenye vidani vikubwa vyenye maandishi au picha mbalimbali inategemea na mapenzi yake. Kwetu Tanzania…
Balmain On Hamisa Mobetto, Maua Sama & Macrida Joseph
2021 tuliona ambavyo watu maarufu wengi walikuwa wajirabu styles mbalimbali na ku-dare kuwa wa tofauti, tupo 2022 na tunajaribu kujua nini kitafuta lakini mpaka sasa tunaweza kusema tunapenda tunachokiona. Tumewaona Fashionista’s Hamisa Mobetto, Maua Sama na Macrida Joseph wakiwa wamevalia hizi outfits za Balmain ambapo…
Muna Love Serving Looks After Surgery
Rose Alphonce a.k.a Muna love ni true definition ya new year new me ameingia mwaka mpya akiwa na new age na new body. Muna ambae miezi ya mwishoni ya mwaka 2021 alitangaza kuwa atafanya surgery 11 katika mwili wake, mpaka sasa tumejua surgery 3 tu…
Je Tunavuka Mipaka Kama Wedding Guest’s?
Waswahili husema “Mgema akisifiwa tembo hulitia maji”, tumekuwa na tabia ya kusifia wedding guest wanaopendeza na kuwa watofauti katika harusi za watu, tunadhani sifa hizi nyingi zimesababisha wengine kuzidisha kiwango na kupitiliza mwishoe kuharibu. Hivi karibuni kulikuwa na harusi ya hair stylist Aristotee ambapo baadhi…
Flaviana Matata Afunguka Kuhusu Kuvunjika Kwa Ndoa Yake, Jackie Cliff Arudi Uraiani, Budget Ya Harusi Ya Aristoste + More
Week nyingine imeisha na huwatunajua ni lazima kuwe na jambo la kuongelea, well week hii zilizoonekana kushika masikio ya watu kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na mwanamitindo Flaviana Matata kufunguka kuvunjika kwa ndoa yake. Flaviana Matata alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…