Jojo Gray Vs Julitha Kabete
Jojo na Julitha ni fahionista’s wanaofanya vyema sana hapa nyumbani, ikiwa Julitha ana tuwakilisha South Africa, Jojo yeye yupo hapahapa na anaendeleza mapigano ya mitindo vizuri kabisa. Week hii tupo nao kwenye segment ya Fashion Battle Field ambapo hapa tunaweka wale waliovaa mavazi yaliyofanana na…
Tems Vs Fahvanny Who Rocked The Outfit Better
Kama kuna kitu wote tunaweza kukubaliana nacho ni kwamba the African Girls are making waves on the fashion industry, Fahyma (fahvanny) na Tems ni moja kati ya watu maarufu kutoka Bara hili wenye mapenzi na fashion. Mwishoni mwa mwaka jana tulimuona mwanamuziki Tems akiwa amevalia…
Nandy Vs Macrida Who Rocked It Better
Leo kwenye who rocked it better tunae mwanamuziki Nandy pamoja na stylist Macrida Joseph, tume wa-spot wawili hawa wakiwa wamevalia S Colorful Striped Halter Chic Backless Jumpsuit. Nandy amevalia jumpsuit hii akiwa amemalizia na pixie cut hair style, big hoop earings na simple makeup wakati…
Quen Linna Totoo VS Jojo Gray
Another Fashion Battle Field, hii segment tunawaletea Fashionista’s mbalimbali wa kiume na wa-kike ambao wamevalia mavazi yanayofanana na mtachagua nani ame-style vazi hilo vizuri zaidi. Week hii tunae Fashionista Jojo Gray na wifi yetu kutoka kwa mwanamuziki Dogo Janja, Quen Linna Totoo wakiwa wamevalia hii…
How Anitha Closet Recreated Beyonce’s Look
Anitha Closet ni fashion blogger & fashionista kutoka Nchini kwetu Tanzania, ni moja kati ya wale fashionista ambao wapo kwenye game kwa muda mrefu, hats off kwake kwa kuendelea kuwepo kwenye tasnia bila ya kuchuja. Anitha alihudhuria katika Autism Awareness Gala akiwa amevalia hii look…
Yemi Alade Vs Chioma
Mwanamuziki Yemi Alade na Fashion-prenuer Chioma The Good Hair wote kutoka Nigeria wameonekana wakiwa wamevalia hii feathered blazer pamoja na see through leggings kutoka kwa mbunifu Weiz Dhurm Franklyn kutoka Nigeria pia. Yemi alionekana akiwa amevalia mavazi haya kwa rangi ya pink, akiwa ame-style na…
Who Rocked It Better Hamisa Mobetto Or Chioma?
We love it tunapoona watu maarufu wamevaa nguo zinazofanana, no sio kwa sababu ya kuuliza nani kavaa vyema zaidi, bali wanatupa option ya kujua namna mbalimbali ambavyo unaweza ku-style mavazi hayo. Week hii kwenye Friday Fashion Battlefield tunao fashionistas wawili, Hamisa Mobetto kutoka Tanzania Vs…
Lavido,Lilian Afegbai & Laura Ikeji In White Ankle Tapered Suit
2020 ilikuwa na trend mbalimbali na moja wapo ambayo tumevuka nayo mpaka 2021 ni hii ya suruali ambazo zinabanwa miguuni, kuna ambazo zinawekwa hook na mkanda,kuna ambazo zinakuwa na elastic na zile zenye vifungo. Tumewaona fashionistas wawili kutoka Tanzania Lavidoz na kutoka Nigeria Lilian Afegbai…
Lavie Makeup Vs Sanch In Elisha Red Label Statement Dress
Another Furaaaahi Day, Another Friday Fashion Battle Field, Leo tunae makeup artist Lavie Makeup na mwanamitindo Sanch ( Surraiya) wote wawili wakiwa wamevalia statement dress kutoka kwa mbunifu Elisha Red Label. Wa kwanza kumuona katika gauni hili alikuwa mwanamitindo Sanch ( Surraiya) ambae yeye alivaa…
Lulu Diva Vs Director Joan In Blue Body-corn Dress
Yes tunajua its been a while toka tuandike kitu kwenye segment yetu ya #afrofashionbattlefield lakini msijali tumerudi na tutakuwa tunawekea hapa kila mtu maarufu ambae tumem-spot amevaa sare na mwenzie. Hii si kwa ubaya kwa watu wawili kupenda vazi moja ni kujua tu nani ame-listyle…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…