Namna 5 Za Kuonekana Stylish Kazini
Moja kati ya vitu ambavyo wengi tunapitia ma-ofisini ni kuwa confused kati ya kuwa over dress na ku-low dress ofisini na chaguo kubwa huwa kuwa katikati yaani usiwe low wala over dressed na hapa ndipo tunapokutana wengi unakuwa na ma shirt yako ya rangi moja…
Namna Ya Kuonekana Classy & Elegant Ofisini
Ladies wewe ni mmoja kati ya wale ambao unajitahidi sana kazini uonekane elegant na classy lakini unaona bado haujafanikiwa? Inawezekana kuna vitu vidogo vidogo una miss katika mionekano yako.Leo tunakuletea tips zinazoweza kukusaidia uonekane classy na elegant Fitted outfits / Right Materials Hakikisha nguo zako…
3 Tips To Get Dressed Quicket To Work
Umetoka zako out weekend umechoka unaamka asubuhi hujui uvae nini unapoteza muda kutafuta nguo matokeo yake wewe ni mchelewaji sugu kazini kila siku upo kwenye chumba cha HR kusemwa kuhusu uchelewaji wako lakini je wajua hili linaweza kubadilika na ukawa unatoka vizuri bila ya kuwa…
Jinsi Ya Kustyle Mavazi Ya Ofisini
Tukiwa tunajiandaa na kuanza week mpya kesho na kuandaa mavazi yetu ya ofisini tumeona tukuletee tips chache ambazo zinaweza kukusaidia ku upgrade muonekano wako wa ofisi kuanzia sasa Style blazer yako ya ofisini kwa kuongezea kufunga mkanda lakini pia kukunja mikono ongezea rangi na prints…
Makosa Matano (5) Ya Kuepuka Kufanya Katika Mavazi Ya Kazini
Ikiwa kesho ni jumatatu na wengi tukiwa tunajiandaa kwenda makazini, tunakuletea makosa matano ya kuepuka kufanya katika kuvaa mavazi ya ofisini, Jinsi Ya Kustyle Mavazi Ya Ofisini Loud Makeup As much as tunapenda makeup lakini loud makeup zinasehemu zake na zio kazini, kazini keep it…
3 Tips On How To Wear Black And White To Work
Kama kuna mavazi rahisi ku-style mavazi ya meusi na meupe kazini, lakini wengi tunayaepuka sasa hivi kutokana na kuwa ni work uniform ya ofisi nyingi sana na sote tunajua namna gani wa fanya kazi wanachukia sare za ofisi. Lakini pia tulisha wahi kusikia Lady Gaga…
Namna 4 Za Kuvaa Sneakers Ofisini
Kwa hizi mvua zinazo endelea kama kunakitu amabcho huwa kinaumiza kichwa ni uvae kiatu gani kazini, as we all know heels na matope haviendani. Kuna viatu vingi vya kuvaa ambavyo ni flats lakini na hii mvua viatu ambavyo vinaweza kukabiliana na tope hasa ni sneakers. Je…
Work outfit Ideas Msimu Huu Wa Baridi
Kujua nini cha kuvaa huwa kazi wakati wowote wa mwaka, lakini huwa ngumu sana kipinndi cha mvua/baridi. Kipindi cha joto inakuwa rahisi kidogo maana kuna kuwa hakuna too much layering sio kama baridi unatakiwa ufikiririe sio tu cha kuvaa bali nini uvae na nini hili kuonekana proffesional…
This Week Work Outfit Ideas
Weekend imefikia tamati na ni wakati wa kurudi maofisini sasa, tunaacha casual outfit’s na kuvaa corporate zaidi zile ambazo zinafaa kiofisini zaidi,leo tumekuletea ideas ni vipi unaweza kujipangilia week hii Coloful statement top na pencil skirt – unaweza kuwa na top yako colorful unaivaaga nyakati tofauti…
Namna Ya Kuvaa Rangi Nyekundu Kazini
Unaweza ukawa unajiuliza je ni sawa kuvaa rangi nyekundu kazini? kama ni sawa naivaaje? well yes unaweza kuvaa rangi nyekundu kazini lakini inategemea na eneo lako la kazi, research zinasema wanawake wakimuona mwanamke mwenzao kavaa rangi hii wanamuona kama threat, however kwa wanaume ni tofauti inakufanya…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…