Tips On How To Dress In The Office As A Beginner
Kama mfanyakazi mpya ni kazi kujua namna gani uvae ofisini, lakini tu sio kama mfanyakazi mpya inawezekana upo kazini muda mrefu lakini huridhishwi na muonekano wako, unatamani kubadilisha muonekano wako lakini hujui pa kuanzia, tuna tips ambazo zinaweza kukupa muelekeo wa nini ufanye. Umeanza kazi…
4 Work Outfit Ideas From Hamisa Mobetto
Ni week nyingine tena inayoenda kuanza, umesha jiandaa na nywele, kucha, mentally uko tayari kabisa kuianza week yako lakini tunajua namna ambavyo inaweza kuwa hectic katika kuchagua nini uvae kwenda kazini. Kama wewe ni mdada na unapenda kupendeza ila iwe kidada zaidi basi look hizi…
You Don’t Need Heels To Look Classy At Work
Inawezekana wewe ni mmoja ya wale ambao wanapitia hii hali,unadhani huwezi kupendeza au kuonekana classy kazini kama hutovaa heels, kiukweli unaweza kuvaa flats na ukaonekana classy. Well leo tupo hapa kukupa tips za namna ambavyo unaweza kuvaa flats kazini Kuna option mbalimbali za flats ambazo…
Dress For Success
Unakumbuka siku ambazo ulikuwa unaililia kazi? Siku ambayo uliitwa kwenye interview ulivyo hangaika kununua mavazi mapya ukavaa uonekane presentable? Siku umetumiwa email au kupigiwa simu uanze kazi namna ambavyo ulifurahi na kutafuta mavazi mazuri ya kuvaa huko, tuulize nini kimekubadilisha? Wote tunasababu zetu kadhaa wa…
What Not To Wear To An Interview
Umeshasoma articles nyingi sana za kitu gani uvae katika job interview ila tumesahau kukumbusha vitu gani hautakiwi kuvivaa. Haijalishi unaenda kufanya interview kwenye aina gani ya kampuni, cha muhimu kufanya ni kujua ni aina gani ya interview unayoenda kufanya. Kwenye job interview hivi ni vitu…
Namna 5 Za Kuonekana Stylish Kazini
Moja kati ya vitu ambavyo wengi tunapitia ma-ofisini ni kuwa confused kati ya kuwa over dress na ku-low dress ofisini na chaguo kubwa huwa kuwa katikati yaani usiwe low wala over dressed na hapa ndipo tunapokutana wengi unakuwa na ma shirt yako ya rangi moja…
Namna Ya Kuonekana Classy & Elegant Ofisini
Ladies wewe ni mmoja kati ya wale ambao unajitahidi sana kazini uonekane elegant na classy lakini unaona bado haujafanikiwa? Inawezekana kuna vitu vidogo vidogo una miss katika mionekano yako.Leo tunakuletea tips zinazoweza kukusaidia uonekane classy na elegant Fitted outfits / Right Materials Hakikisha nguo zako…
3 Tips To Get Dressed Quicket To Work
Umetoka zako out weekend umechoka unaamka asubuhi hujui uvae nini unapoteza muda kutafuta nguo matokeo yake wewe ni mchelewaji sugu kazini kila siku upo kwenye chumba cha HR kusemwa kuhusu uchelewaji wako lakini je wajua hili linaweza kubadilika na ukawa unatoka vizuri bila ya kuwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…