Zari The Boss Lady Kafa Na Fashion Katika Hili Vazi La Airport
Zari alitembelea Tanzania weekend iliyopita ambapo alikuwa ana fanya appearance kwenye party huko mjini Dar Es Salaam, well tuliona alienda kupokelewa airport na kilicho tuvuta kwake ni huu muonekano wake yaani mavazi aliyoyavaa. Sote tunakubaliana kwamba ukiwa safarini unatakiwa kuvaa mavazi ambayo yapo comfortable ikiwa…
Suit Ya Zari Iliyoshonwa Kwa Masaa Saba
Zarina Hassan A.K.A Zari the boss lady week iliyopita alikuwepo Tanzania kwa ajili ya kazi zake za u-brand ambassador, akiwa hapa Zari aliomba kutembelea Bunge la Tanzania ambalo linaendelea Jijini Dodoma. Zari alivali 3 pieces suit kutoka kwa mbunifu Speshoz ambayo ilileta taharuki kutokana na…
Wema Sepetu, Zari The Boss Lady & Vera Sidika Birthday Photo-shoots Review
Ni Libra season na sote tunajua watu wengi maarufu wamezaliwa mwezi huu, well week iliyopita tumeona birthday za watu maarufu watatu kutoka Tanzania, Kenya Na Uganda. Ambapo kwa Tanzania tunae Wema Sepetu, Kenya ni Vera Sidika na Uganda ni Zarina Hassan ( Zari The Boss…
The Slayed And Played Looks From Last Week
Committee ya kujudge weekly looks is back, hii segment tunaangalia looks mbalimbali kutoka kwa watu maarufu katika week iliyoisha. Week hii tuna Hamisa Mobbeto, Zarina Hassan, Wema Sepetu, Lavidoz, Joujou Nyaki pamoja na Gabo Gozimba. Katika hawa kuna ambao tumependa mionekano yao na wale ambao…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…