New Year Looks From Celebrities
Wakati ndio kwanzaaaa tunauanza mwaka watu maarufu wameshaanza kuonyeshana makali katika style zao za mavazi, we are loving this energy seems like 2023 tutakua na more content, anyways tukiwa kwenye siku ya pili ya 2023 tumeshaona photoshoot na looks kadhaa kutoka kwa watu maarafu na…
Burna Boy Kuvaa Crop Top, Zuchu Na Boxing Pants And More Fashion News
The week had alot going on, tumeona looks kutoka kwa watu maarufu ambayo tumeiona mtandaoni. Tunakuletea zile stories za fashion na urembo ambazo zili make headlines kwa namna moja au nyingine Mwanamuziki Burna Boy kutoka Nigeria alivaa risqΓΊe ‘crop top’ akiwa ana perform on stage…
Tip Ya Kuondokana Na Vidole Kutokeza Nje Ya Kiatu
Vidole kutokeza nje ya kiatu hukupa muonekano mbaya, inawezekana umenunua viatu vinakutosha vyema ila ukavivaa ukiwa umepaka lotion miguuni kwenye sole viatu vikawa vinateleza au inawezekana una tatizo la jasho miguuni ambayo nayo husababisha miguu kuteleza kwenye viatu na sababisha vidole vitokeze mbele,either way tuna…
Ginger Orange Curly Hairstyle Inavyo Trend Kwasasa
Kuna mitindo mbalimbali ya nywele ina trend kwasasa, lakini ambao tumeuona unashika kasi ni hii wig ya rangi ya ginger orange. Tumewashuhudia watu maarufu mbalimbali wakiwekwa style hii hatujajua imetokea bahati mbaya, wanaigiana au kuna brand inatoa nywele hizi kwaajili ya kutangaziwa. Anyways tumewaona watu…
Zuchu Anahitaji Msasa Kwenye Vitu Hivi Vitatu
Zuchu amepiga hatua kubwa sana ki-muziki, kwenye ku-pose kama tunakumbuka zamani aliwa ha-relax lakini pia amepiga hatua kwenye mavazi. Anavaa according to her age na status, well kuna vitu vidogovidogo ambavyo anahitaji kuviangalia ili awe na ile star quality. Kutembea kama kuna msanii ana mwendo…
Exaggerated Baby Hair Style Trend
Baby hair ni zile nywele fupi, laini zilizopo karibu na edges za nywele zako, zinaweza kuwa ndefu, fupi na wakati mwingine curly inategemea na aina na texture ya nywele zako, mara nyingi hizi huonekana sana wakati tukiwa watoto ( ndio maana zikaitwa baby hair) lakini…
Celebrities Hair Cut Inspiration
Katika kitu ambacho huwa kina-stress ni nywele, wakati mwingine unataka tu uwe na simple hair style ambayo haitokufanya uwe unahangaika nazo mara kwa mara. Na ndio maana kuna wakati unakuta baadhi ya watu maarufu mbalimbali wanaamua kukata nywele zao. Well leo tuna watu maarufu wanne…
Zuchu Anahitaji Somo La Fashion
Zuchu anaweza kuwa ndiye msanii wa kike anaetamba kwasasa, speed yake katika muziki ni kubwa mno tunatamani hii speed asingeipeleka kwenye fashion pia maana anatupeleka puta in a wrong way, kwenye week moja tena week yake muhimu yote ametuvalia shaghala baghala. Tunadhani anahitaji kukaa chini…
Zuchu Committed A Fitting & Wrong Accessory Crime
Zuchu anaonekana kuwa mpenzi wa fashion na tunavyo muona ni kwamba anajaribu ku-stand out kuwa tofauti na wengine, ukiangalia mavazi yake utajua kuna mtu ana mu-inspire na angependa kuwa kama yeye lakini kuna vitu anakosea. Week hii tumeona akijaribu kuvaa oversized suit, kama mnakumbukumbu na…
Make Up Looks From Wema Sepetu, Anjella, Zuchu & Others
Kama kuna sekta tupo proud nayo kwa sasa ni sekta ya Makeup, makeup artist wanajituma sana kuhakikisha wateja wao wanaendana na makeup zao sio kama zamani mtu mweusi anapakwa makeup ya mtu mweupe. Well last week tumewaona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamepakwa makeup na makeup…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se⦠https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…