Leo katika TUPA NYUMA au THROWBACK #TBT tunaangalia make up game ilivyo kuwa zamani mpaka sasa, jinsi gani tumekua na kujiongeza katika uwanja huu. Kuna baadhi ya watu maarufu tume chukua picha zao za kule walipo toka na make up mpaka hapa walipo fikia. Enjoy
Johari juu ni miaka michache iliyo pita ambapo make up yake haikua nzuri kabisa kuanzia nyusi,kope, make up yenyewe mpaka nywele lakini kwa kipindi hiko alionekana amependeza, na johari wa sasa make up yake ime tulia na inayo eleweka.
Jacqueline Wolper juu ni zamani kama ambavyo inaonekana ilikua rangi nyingi mno na pia makeup haiku katika mpangilio mzuri wakati chini ni sasa ambapo make up ipo vizuri na inaendana na rangi yake.
Irene Uwoya ukiangalia juu ambapo ni zamani utaona nyusi hazikuwa sawa tofauti na chini ambapo ni sasa.
Aunty Ezekiel juu zamani ambapo ukiangalia tu utaona jinsi gani make up game ime badilika na sasa watu wana zingatia sana mionekano yao tofauti na ilivo kuwa awali.
Wema Sepetu ukiangalia juu ambapo ni zamani uatona make up yake haikua nzuri,nyusi,rangi ya make up na tofauti na rangi yake tofauti na sasa.
Jokate Mwegelo zamani juu na sasa muonekano wa eye shadow na lipstic.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 16023 additional Info on that Topic: afroswagga.com/throwback/make-up-game-ilivyo-badilika-kutoka-zamani-na-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/throwback/make-up-game-ilivyo-badilika-kutoka-zamani-na-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/throwback/make-up-game-ilivyo-badilika-kutoka-zamani-na-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 45226 more Info on that Topic: afroswagga.com/throwback/make-up-game-ilivyo-badilika-kutoka-zamani-na-sasa/ […]