Zelda Wynn Valde Ni mbunifu wa kwanza mwenye asili ya Kiafrica (African-American), Mwanamama huyu alizaliwa 28/6/1905 lakini kwa bahati mbaya alifariki 26/9/2001. Zelda alifungua duka lake mwenyewe broadway katika mji wa New York ambalo lilikua ni duka la kwanza katika eneo hilo kumilikiwa na mtu mwenye asili ya Africa.
Zelda alikua ni mbunifu mkongwe mwenye asili ya Africa ambae ana duka lake broadway katika mji wa new mwaka 1948, alikua akikuza ujuzi wake kwa kufundishwa na bibi yake pia kufanya kazi na mjomba wake ambae alikua ni mshonaji. Alianza kushona nguo za masanamu (dolls) na baadae kumshonea gauni bibi yake japo bibi yake hakuuamini sana uwezo wa Zelda lakini baada ya kuona gauni alilo mtengenezea alivutiwa nalo.
Zelda kazi yake ya kwanza ilikua katika duka kubwa la nguo ambapo haikua rahisi yeye kuipata lakini alifanya kila jitihada kuthibitisha kuwa anaweza, kwa sababu ya kazi yake nzuri watu wakaanza kumtambua na kuanza kumtaka hata wale ambao hawakua na uhakika nae mwanzoni. Zelda aliweza kufungua maduka yake ya nguo mjini New York na pia midtown manhattan baada ya kuamia huko.
Zelda aliwavutia watu maarufu wengi kama Dorothy Dandridge, Joyce Bryant, Ella Fitzgerald na Mae West. Mwaka 1949 Velda alichaguliwa kuwa Rais wa New York Chapter of NAFAD, the National Association of Fashion and Accessory Designers.
Zelda aliajiliwa na hugh Hefner kubuni vazi la kwanza la Playboy Bunny,Akiwa na miaka 65 Zelda alijaliwa na Arthur Mitchell kubuni mavazi kwa ajili ya Dance Theatre of Harlem.
Amefanya kazi nyingi lakini katika umri wa miaka 83 Zelda ali staafu kufanya ubunifu na alifariki 2001 katika umri wa miaka 96.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/throwback/mkumbuke-mbunifu-wa-kwanza/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/throwback/mkumbuke-mbunifu-wa-kwanza/ […]