Martin Kadinda aliianza safari yake katika ulimwengu wa mitindo 2007-2010 kama mwanamitindo wa jukwaani na si mbunifu katika safari yake hio aliwahi kushinda tuzo kama mwanamitindo mwenye kipaji zaidi (2008) wakati (2010) alishinda tuzo ya mwanamitindo bora wa kiume. Baada ya hapo akaamua kubadilisha uelekeo ambapo aliamua kuwa mbunifu, akiwa na miaka 22 Martin alipata dili la kumvalisha mwanamitindo mkubwa Naomi Campbell (2011). Martin anawavalisha watu maarufu wengi hapa nchini Tanzania kama Wema Sepetu, Shetta,Diamond Platnumz na wengineo.
Mwaka 2012 Martin alitoa Collection yake iitwayo Blazer Single Button ambayo ilimpa sana jina kwa sababu hakuna mtu maarufu ambae hakuivaa na hii ilimpa tuzo ya Best Menswear Designer of the Year.
Lakini safari ya Martin haikuishia hapo alikuja kutoa collection nyingine iitwayo Kwachu kwachu
Martin amesha wahi kufanya kazi katika majukwaa mbali mbali ya nchi mbalimbali kama Menswear Fashion Week mjini Cape Town, South Africa, Estelle Mantel Fashion Week nchini Zambia pia Jambo Fashion Affair & Swahili Fashion Weeks Tanzania. Martin si mbunifu ambae anapotea kwa maana kila mwaka ana badilika na kuwa vizuri zaidi.
Kazi ya Martin Kadinda hivi karibuni.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/throwback/tbt-na-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 67148 additional Info to that Topic: afroswagga.com/throwback/tbt-na-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/throwback/tbt-na-martin-kadinda/ […]