Boga La Nazi
Vipimo:
Boga – 1
Tui La Nazi – 2 Vikombe
Sukari – 1 kikombe
Hiliki – 1/2 kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha na Kupika
- Unamenya maboga kiasi ukipendacho.
- Unayakata kata vipande vidogo vidogo.
- Unayachemsha mpaka yawive lakini humwagi maji wala yasije kuvurugika.
- Maji yakishaanza kukauka unatia sukari kiasi ukipendacho na hiliki.
- Kisha unamimina tui la nazi.
- Unaiwacha ichemkie na kabla kukauka tui unaepuwa na tayari kuliwa
JUISI YA EMBE NA KARAKARA/PASHENI
Vipimo
Passion fruit – 8
Embe – 6 za kiasi
Maji – kiasi
Sukari – kiasi upendavyo
Namna Ya Kutayarisha
- Kata passion fruit toa nyama weka mashine ya kusagia (blender) . Tia maji kiasi kisha saga na uchuje .
- Saga embe na maji kidogo kisha changanya na juisi ya passion.
- Tia sukari korogo ikiwa tayari
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 4623 more Information to that Topic: afroswagga.com/uncategorized/boga-la-nazi-kwa-juisi-ya-embe-na-pasheni/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/uncategorized/boga-la-nazi-kwa-juisi-ya-embe-na-pasheni/ […]