Ukiwa umefunga mwili unakua na upufu wa nishati ambayo inapatikana katika chakula. Hivyo kwa kutambua upungufu wa nishati mwili unavunja baadhi ya misuli laini iliyopo mwilini na kuibadilisha kuwa nishati, ambayo mwili wenyewe unahitaji.
Hivyo basi ni vema kuwa mwangalifu katika aina ya chakula ambacho utakula baada ya kufungulia, Unashauriwa kula chakula ambacho hakitahitaji kiasi kikubwa cha nishati katika mchakato mzima wa kukimeng’enya.
Lakini pia ukiwa umefunga mwili unapoteza kiasi kikubwa cha maji kwasababu unakuwa haunywi maji ya kutosha na hii inaweza kufanya ngozi kusinyaa na kupoteza mvuto wake wa asili.
Kukabiliana na hali zote hizo hapo juu katika futari yako ya leo hakikisha unaanza na matunda ambayo asili yake ni huwa yana maji mengi na sukari kama vile, Tikiti, Zabibu na Apple.
Ni matunda ambayo yatameng’enywa kwa uraisi na mwili wako, lakini pia yataupa nishati na virutubisho mbali mbali.
Unaweza kufungulia kwa kunywa bilauri ya juisi halisi ya mchanganyiko wa matunda. Nakufatiwa na sahani yenye mchanganyiko wa vipande tajwa vya matunda.
HEPUKA
Epuka matunda jamii ya machungwa ukiwa unaanza kufuturu kwakuwa yana kiasi kikubwa cha tindikali.
MWISHO
Sasa unaweza kunywa bilauri moja ya maji safi na salama ili kuuongezea maji mwili wako.
Furahia Mfungo wako Ukiendelea kuwa na muonekano ulele wa kipekee na wenye kuvutia
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/uncategorized/chungu-cha-kwanza-1/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 23847 more Information to that Topic: afroswagga.com/uncategorized/chungu-cha-kwanza-1/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/uncategorized/chungu-cha-kwanza-1/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/uncategorized/chungu-cha-kwanza-1/ […]