Kuna siku unakuwa na nywele nzuri na kunasiku unaamka asking yourself what happened? Who is this? na inawezekana ukawa huna muda au unasikia uvivu kwenda kuzihudumia well hapa ndipo ambapo unahitaji scarf kukusaidia. Huwezi kutoka kwenda kazini na nywele zisizoeleweka lakini pia huwezi kuacha kwenda kwenye mizunguko yako kisa tu nywele mbaya.
Scarf’s are very versatile unaweza kuzistyle namna mbalimbali lakini zinafaa kuingia nazo sehemu yoyote na zipo very stylish kama utazifunga vyema. Ni namna mojawapo pia ya ku-upgrade muonekano wako kama upo boring.
- The Twisted Headband
Hii ni style nzuri hasa kama nywele zako mbele zimefumuka au gundi imeisha, lakini unataka kushow off some hair nyuma, unafunga mbele kama headband ukiachana nywele zako nyuma zikining’inia.

- The Lowbun
Hii ni nzuri endapo unataka kuficha nywele zote, unafunga kiremba chako kawaida huku nyuma unazungusha kukaa kama kidoti, ni style nzuri sana kama utatumia scarf nzuri then inaweza kukupa ile rich auntie look kama ambavyo tunamuona Jacqueline.

- The Babushka
Babushka hii style ni more of casual style ambayo huwezi kwenda nayo kazini ila unaweza kwenda nayo saloon au kwenye meetings na marafiki, inakupa utofauti kwa sababu si kawaida sana kukutana na mtu amefunga scarf yake kwa style hii, it takes guts sababu watu watakuangalia lakini pia ni a stylish way ku-upgrade muonekano wako.

Well Afromates next time ukiamka na bad hair jua kuna namna ya kustyle ulivyonavyo na ukapendeza tu bila ya ku-stress, let us know style ipi unaweza kuitumia?
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…