Seline ni mwanamziki kutoka Tanzania ambae japo hasikiki sana lakini anafanya mambo makubwa, moja ya kitu ambacho huwa kinatuvutia kwake ni makeup zake. Mara kwa mara huwa tunamuona na makeup iliyotulia iwe bold makeup au simple makeup.
Tumechagua makeup looks zake nne ambazo zimetuvutia na labda na wewe zinaweza kukuvutia na kua-inspire nazo kwa ajili ya makeup look yako ijayo
Unaenda kwenye sherehe na unependa makeup iliyoyakawaida tu lakini inavutia? basi hii look kutoka kwa Seline itakufaa zaidi tumependa namna ambavyo amei-upgrade kwa kutumia statement accessories na kiremba

Bold Lips hii ni our all time favorite, ambapo alikuwa na bold lips za pink lakini kilichofanya a-stand out ni namna alivyo color block makeup yake na kiremba na hereni #Serving

Rainbow Makeup, kuna ile siku unajisikia tu kuwa na colors nyingi mwilini mwako, basi hii makeup look kutoka kwa Seline inaweza kukutimizia hitaji lako la hio siku, hakikisha tu makeup artist wako anajua kuchagua rangi ambazo zina compliment each other usije ukatoka kama mti wa m-Christmas

Well tuambie ni look gani imekuvutia zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…