Well tumemzoea Tiwa Savage akiwa na weaving au wigs ni mara chache kuona nywele zake. Lakini inaonekana huu mwaka watu wengi wameamua kukata nywele na Tiwa Savage ni moja wapo. Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Tiwa alipost muonekano wake huu mpya akiwa amekata boy-ish low cut. We Love This Look On Her.
Lakini ulishawahi kufikiria kwanini au vipi hawa watu maarufu wakinyoa huwa wanapendeza wakati sisi tukinyoa it’s more of a disaster? hizi ni few tips za wewe kuzifanya wakati umenyoa na zinaweza kukupa msaada wa kukufanya upendeze kila siku.
- Rock a Bright Lipstick
Jimeliona au kujifunza hili kutoka kwa Jacqueline Wolper, Wolper huwa ana kata nywele mara nyingi na ukikata nywele ina maanisha uso pamoja na kichwa vinakuwa plain, unacho takiwa kufanya ni kuongeza au kupaka bold lipstick ambayo itachukua attention ya watu na kufanya uso wako uchangamke na ku – pop
- Add Accessories
Hii tip wanatumia watu maarufu wengi, wakikata nywele mara nyingi wanaziacha accessory ziongee, wanavaa statement accessories, kama ni mkufu, hereni n.k. kama ambavyo tumesema ukikata nywele unakuwa plain ili kuongeza chachu jaribu kuongeza urembo katika mwili wako.
- Try a Bold Hair Color
try to have fun with your hair, kwa kuongezea rangi. Tumeona hii ikifanyika mara nyingi kwa watu maarufu kwa hapa Tanzania tumemuona Vanessa akiwa ameweka nywele zake rangi ya orange ambayo ilikuwa gumzo. Lets say girl wanna have fun.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 6263 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/3-tips-za-jinsi-ya-kupendeza-na-nywele-fupi/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/3-tips-za-jinsi-ya-kupendeza-na-nywele-fupi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/3-tips-za-jinsi-ya-kupendeza-na-nywele-fupi/ […]