Jumatano nyingine tena ya week ambayo huwa tunawaletea ni kitu au mtu gani ametuvutia katika mavazi, urembo, nywele au kitu chochote kutoka kwake. Week hii tunae mwanamitindo video vixen Irene au Officiallyyn ambae tumependa hizi makeup zake alizo fanyiwa na make up artist Rose Kayuga (@rosekayuga )
Rose ni moja kati ya makeup artist wazuri kabisa Tanzania na tunaweza kusema anaiteneda haki sura ya Irene, mar nyingi amekuwa akimpaka makeup lakini sisi tumependa hizi zaidi.
Tumependa hii makeup ilikuwa simple neat wakafanya iwe bold na red lipstick, the pink lipstick imemfanya makeup ipop barabara kabisa, the curly hair on point, amemaliza na colorful clothes & accessories
Juu lipstick ilikuwa red lipstick hapa ni hot pink lipstick same shade, tuchukue dakika chache kuisifia hizi nyusi, eye brows on fleek, eye liner imepakwa vizuri eye shadows zimetulia just a perfect makeup on a beautiful face, hapa alimaliza na curly hair pia na pink off shoulder top na yellow earrings. Love it.
Talking about earth notes hapa Irene alipakwa maroon matte lipstick, we love the extra yellow under eye & eye shadow inayoendelea hapa, imeendana vizuri na rangi ya lipstick, alimalizia na pixie cut hairstyle na hereni za rangi ya dhahabu.
When the makeup is on point you have to serve faces, tumeipenda hii pia ambapo hapa kidogo maroon yake ilipoa, the yellow under eye shadow ikiendelea hapa.
Well next time ukienda kufanya makeup kumbuka hizi kutoka kwa Irene.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/4-times-mwanamitindo-irene-ametupa-makeup-goals/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/4-times-mwanamitindo-irene-ametupa-makeup-goals/ […]