Fashion goes hand in hand with beauty iwe natural au na makeup unapokuwa umevaa umependeza lazima utafikiria na nini ufanye usoni na nywele ili kukamilisha muonekano wako, week hii tunakuletea 5 beauty looks tulizo ziona kutoka katika mtandao wa Instagram na tukafikiri unaweza kuipenda mionekano hii kwa namna moja au nyingine, lakini pia unaweza kujaribu ili kubadilisha ule muonekaono wako wa kila siku.
Lulu Diva
Tume mspot mwanamuziki Lulu Diva akiwa amepakwa hii bold makeup na make up artist @beauty__queen__salon, eye shadow yake ilikuwa colorful ikiwa na rangi ya orange, purple na pink kwa mbali, akamaliziwa na nude lipstick ili kutoonekana too much as nywele zake nazo zilikuwa na bold color zile orange shades za moto (fire).
Jacqueline Mengi
Mama wawili served us face akitukumbushia enzi zake za modeling, jacque was minimum na makeup yake, the eye brows on fleek amemalizia na blush pink eye shadow na lipstick, hair laid perfectly tulichopenda zaidi ni hizo eye lashes zimehighlight vizuri kabisa macho yake.
Hamisa Mobetto
Went for natural tone makeup, alikuwa na interview mchana so tunaelewa kwanini makeup yake akachagua isiwe bold, we love this look as inaonyesha au ku highlight her natural features, love the pink lipstick & wet hair zina trend kwa sasa japo kuna some mistakes kwenye nywele but tutazipass kwa leo. Makeup done by @queennuru_makeup
Rosa Ree
tulishawahi kusema ukiachana na huyu msichana kuwa anafanya hiphop lakini anajipenda mno kuanzia mavazi mpaka makeup zake, well week hii ali bless ourtimeline na hii bold makeup we love the purple lips & highlighter poping to make the haters go blind.
Muna Love
Muigizaji Muna Love ni moja kati ya watu maarufu ambao hatukuwa tunaelewaga makeup zake lakini tunaona kapata mtu ambae anampatia sasa hivi she is serving looks like no body’s business, this nude matte lipstick is everything na eyebrow zimetulia we cant get over the nude eyeshadow, lovelove love.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/5-beauty-looks-from-instagram-you-would-love/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/5-beauty-looks-from-instagram-you-would-love/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/5-beauty-looks-from-instagram-you-would-love/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 89431 additional Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/5-beauty-looks-from-instagram-you-would-love/ […]